Chuki ya Martin Luther kwa Wayahudi ilivyosababisha holocaust

Chuki ya Martin Luther kwa Wayahudi ilivyosababisha holocaust

unajitoa ufahamu tu ila ukweli unaujua. hatusemi walutheran mpo kwenye dhehebu lililosambaza chuki, tunasema mwanzilishi wenu mwishoni alisambaza chuki zilizoleta mauaji ya kimbari baada ya miaka 400 baadaye. wanatheolojia wote wanalijua hili. kama hujui hili wewe sio mwanatheolojia na hujasoma.
Na kuongezea na kingine sasa ili ujue level ya mtu unayejibizana naye ni next level ,katafute kitabu cha mrusi mmoja wa miaka mingi sana aliyeitwa Neilus Segus kinaitwa "Protocol for the learned elders of Zion "
Hicho kitabu kinaelezea plan ya hawa watu waovu ,uzao wa ibilisi ,wanaojiita wayahudi wa leo kutawala ulimwengu na kutimiza agenda zao .
Kasoma humo kwanza halafu urudi hapa ,nadhani kama ni msomaji wa vitu ,unaelewa lugha na kutafakari mambo kwa mapana na kuelewa kwa kasi kuna kitu utaelewa baada ya kusoma humo
Hicho kitabu kimeandikwa miaka mingi sana imepita .View attachment The Protocols of the Learned Elders of Zion (Translated by Victor E. Marsden) (Z-Library).pdf
 
maana ya anti-semitism, ni chuki dhidi ya wayahudi ambao wamechukuliwa kama ni uzao wa shem. hiyo semitic ni aina ya watu wa uzao wa watoto wa Nuhu, yule shem, achana na japhet na Ham. kwahiyo nikikuambia ni anti-semitism jua ni sawa na nimekwambia anti-jews kwa jinsi inavyochukuliwa duniani. sasa huyo henry ford kama alikuwa na chuki dhidi ya wayahudi, basi alikuwa anti-semitic sawa tu na martin luther.
Huelewi , kwanza hao unaoita semites hao wayahudi feki wa leo hawana genetic linkup wala lunguistic realtionship yoyote na semites Kwa taarifa yako ,narudia fanya research tena na urudi hapa ,hata Google ni misaada kama hujui , narudia hamna semites amongst today's so called Jews hasa hao Fake Jews toka southern Russia na Turkey walioingia ulaya na kuanza kutawanyika humo na baadaye kuanza kuuvaa uyahudi
Do your research
Nakuongezea NONDO nyingine soma hapa na ufute huo upotoshaji uliokujaa
Tafuta kitabu cha jamaa mmoja anaitwa Arthur Koestler , huyu actually anatoka jamii ya hao Ashkenazi Fake Jews / khazars na ameandika mengi humo na anasema hamna linkage yoyote kati ya hao wayahudi feki toka Ulaya na real nation of Israel , hapa naposema real nation of Israel nazingumzia 12 tribes of Israel
Soma humo halafu rudi hapa tujadiliane
 
Na kuongezea na kingine sasa ili ujue level ya mtu unayejibizana naye ni next level ,katafute kitabu cha mrusi mmoja wa miaka mingi sana aliyeitwa Neilus Segus kinaitwa "Protocol for the learned elders of Zion "
Hicho kitabu kinaelezea plan ya hawa watu waovu ,uzao wa ibilisi ,wanaojiita wayahudi wa leo kutawala ulimwengu na kutimiza agenda zao .
Kasoma humo kwanza halafu urudi hapa ,nadhani kama ni msomaji wa vitu ,unaelewa lugha na kutafakari mambo kwa mapana na kuelewa kwa kasi kuna kitu utaelewa baada ya kusoma humo
Hicho kitabu kimeandikwa miaka mingi sana imepita .View attachment 2788615
wayahudi ni uzao wa ibilisi?
 
Na kuongezea na kingine sasa ili ujue level ya mtu unayejibizana naye ni next level ,katafute kitabu cha mrusi mmoja wa miaka mingi sana aliyeitwa Neilus Segus kinaitwa "Protocol for the learned elders of Zion "
Hicho kitabu kinaelezea plan ya hawa watu waovu ,uzao wa ibilisi ,wanaojiita wayahudi wa leo kutawala ulimwengu na kutimiza agenda zao .
Kasoma humo kwanza halafu urudi hapa ,nadhani kama ni msomaji wa vitu ,unaelewa lugha na kutafakari mambo kwa mapana na kuelewa kwa kasi kuna kitu utaelewa baada ya kusoma humo
Hicho kitabu kimeandikwa miaka mingi sana imepita .View attachment 2788615
sasa hata hujui unabishania nini kwasababu inavyoonekana hata maana tu ya anti-semitism hauijui. wote unaorefer ni anti-semitic people na ndicho ninachokisema mimi kwamba kuna chuki nyingi ilisambazwa dhidi ya wayahudi na ndio maana waliuawa ujerumani. martin luther alianza kuisambaza miaka 400 kabla hitler hajazaliwa wakauawa, hivyo ni chuki ilichobebwa kwenye mnyororo wa watu wengi na vizazi vingi. ubishi wako umekalia wapi sasa, wakati hata wewe mwenyewe ni anti-semitic person (una chuki dhidi ya wayahudi)?

umewaita watoto wa uzao wa shetani? kivipi, mimi najua wayahudi ni watoto wa uzao wa Ibranim-isaka-Yakobo(israel) na miaka 400 kabla ya mwaka 1948 walisambaratishwa kwenda utumwani kwasababu ya dhambi zao ndio maana walikuwa nchi mbalimbali na walitunza imani ya kiyahudi (judaism). na huko walikoenda walizaliana pia na makabila mengine, mfano, kuna ashkenaz jews ambao ni wayahudi wa ulaya ukiwaangalia ni kama wazungu sanaa weupe wakati wayahudi hawakuwa weupe hivo walikuwa wekundu kidogo na uarabu kwa mbali. hii ilitokana na intermarriage na wazungu wa ulaya wale watoto wao ni wayahudi pia sawa tu na wewe kama unaitwa wambura ukienda kuzaa na mzungu mtoto wako atakuwa na ubini wa wambura hata kama atakuwa chotara wa kizungu. wayahudi wengine walikimbilia nchi za kiarabu kama yeman, iran na afrika kaskazini kama aljeria, misri,morrocco wapo kibao na wamezaliana na waarabu hivyo sura zao sio kama zile za ashkenaz, wengine walikimbila marekani,wengine walikimbilai urusi n.k. ujerumani, poland na austria walikuwa wengi zaidi. sasa utasemaje wayahudi feki? kwasababu wamechanganya na uzungu kidogo?
 
Huelewi , kwanza hao unaoita semites hao wayahudi feki wa leo hawana genetic linkup wala lunguistic realtionship yoyote na semites Kwa taarifa yako ,narudia fanya research tena na urudi hapa ,hata Google ni misaada kama hujui , narudia hamna semites amongst today's so called Jews hasa hao Fake Jews toka southern Russia na Turkey walioingia ulaya na kuanza kutawanyika humo na baadaye kuanza kuuvaa uyahudi
wewe ni mpumbavu na akili yako ni ndogo sana, nini usichoelewa kwa maelezo yote haya?
 
Kwa taarifa yenu huyo huyo Hitler mnaeona fahari kuua wayahudi alikuwa na mpango pia wa kuangamiza na watu weusi pia. Msisahau hilo mnaposhangilia ujinga wa Hitler.
Angeshinda WWII kingeturamba watu weusi.
 
maana ya anti-semitism, ni chuki dhidi ya wayahudi ambao wamechukuliwa kama ni uzao wa shem. hiyo semitic ni aina ya watu wa uzao wa watoto wa Nuhu, yule shem, achana na japhet na Ham. kwahiyo nikikuambia ni anti-semitism jua ni sawa na nimekwambia anti-jews kwa jinsi inavyochukuliwa duniani. sasa huyo henry ford kama alikuwa na chuki dhidi ya wayahudi, basi alikuwa anti-semitic sawa tu na martin luther.
maana ya anti-semitism, ni chuki dhidi ya wayahudi ambao wamechukuliwa kama ni uzao wa shem. hiyo semitic ni aina ya watu wa uzao wa watoto wa Nuhu, yule shem, achana na japhet na Ham. kwahiyo nikikuambia ni anti-semitism jua ni sawa na nimekwambia anti-jews kwa jinsi inavyochukuliwa duniani. sasa huyo henry ford kama alikuwa na chuki dhidi ya wayahudi, basi alikuwa anti-semitic sawa tu na martin luther.
Huelewi , kwanza hao unaoita semites hao wayahudi feki wa leo hawana genetic linkup wala linguistic realtionship yoyote na semites Kwa taarifa yako ,narudia fanya research tena na urudi hapa ,hata Google ni misaada kama hujui , narudia hamna semites amongst today's so called Jews hasa hao Fake Jews toka southern Russia na Turkey walioingia ulaya na kuanza kutawanyika humo na baadaye kuanza kuuvaa uyahudi
Do your research
Nakuongezea NONDO nyingine soma hapa na ufute huo upotoshaji uliokujaa
Tafuta kitabu cha jamaa mmoja anaitwa Arthur Koestler , huyu actually anatoka jamii ya hao Ashkenazi Fake Jews / khazars na ameandika mengi humo na anasema hamna linkage yoyote kati ya hao wayahudi feki toka Ulaya na real nation of Israel , hapa naposema real nation of Israel nazingumzia 12 tribes of Israel
Soma humo hicho kitabu kinaitwa " Thirteenth tribe : khazar empire heritage " halafu rudi hapa tujadiliane
 
Huelewi , kwanza hao unaoita semites hao wayahudi feki wa leo hawana genetic linkup wala lunguistic realtionship yoyote na semites Kwa taarifa yako ,narudia fanya research tena na urudi hapa ,hata Google ni misaada kama hujui , narudia hamna semites amongst today's so called Jews hasa hao Fake Jews toka southern Russia na Turkey walioingia ulaya na kuanza kutawanyika humo na baadaye kuanza kuuvaa uyahudi
Do your research
Nakuongezea NONDO nyingine soma hapa na ufute huo upotoshaji uliokujaa
Tafuta kitabu cha jamaa mmoja anaitwa Arthur Koestler , huyu actually anatoka jamii ya hao Ashkenazi Fake Jews / khazars na ameandika mengi humo na anasema hamna linkage yoyote kati ya hao wayahudi feki toka Ulaya na real nation of Israel , hapa naposema real nation of Israel nazingumzia 12 tribes of Israel
Soma humo hicho kitabu kinaitwa " Thirteenth tribe : khazar empire heritage " halafu rudi hapa tujadiliane
hii ni msg ya mwisho, siwezi kubishana na wewe, kabishane na vilaza wenzio huko.
 
wewe ni mpumbavu na akili yako ni ndogo sana, nini usichoelewa kwa maelezo yote haya?
Ungekuwa na akili usingeandika upuuzi wako ambao umemezeshwa na wewe kukariri bila kufanya utafiti na kujisomea kiundani ,wewe ndio definition ya mpumbavu .
Fool ++++ ,that's you .
You are biggest fool that I have ever seen
 
hii ni msg ya mwisho, siwezi kubishana na wewe, kabishane na vilaza wenzio huko.
Soma hapo wewe fala
Huna akili , information wala knowledge Halafu unaleta useng£ hapa , akili kubwa hizi , hujadiliani na mafala wenzako hapa ,inabidi ujipange haswa unapojadili mada za Kiutu uzima kama hizi ,wewe ulidhani facebook humu kwa mazwazwa wenzako ?
Ukiambia Jamii forum ," The Home of great thinkers " unadhani ni jokes au View attachment The Thirteenth Tribe (Arthur Koestler) (Z-Library).pdf
 
kanisa la lutheran na martin luther mwenyewe wamechangia sana chuki iliyokuja kuleta mauaji ya wayahudi. martin luther alikuwa ni mjerumani na ndiko dhehebu hili lilikotokea. though wakati wa execution, inasemekana Sheheh Aman al Husseini aliyekuwa mshirika mkuu wa hitler (na alikuwa ni mufti wa Yerusalem kipindi cha British colonialism) alimwomba hitler afanye lolote lile ili wayahudi ambao tayari walishakuwa wamerudi wengi pale caanan na walikuwa wanaomba kuundwa upya kwa taifa lao, na maelfu walikuwa wanamiminika toka duniani wakikimbia mateso ili waunde nchi, yeye aliomba wayahudi hao wasirudi, bali wauawe hukohuko. na hitler alifanya kweli. ila martin luther ana mchango wake mkubwa sana.

wale tuliowahi kuishi kwenye ulutheran, tunajua, tangu tukiwa watoto tumekuwa tukifundishwa namna wayahudi walivyo watu wabaya, wauaji wa Yesu, makatili, nyimbo zetu na kila kitu kuhusu wayahudi ni ukatili na chuki tu. kama kuna mlutheran hapa aniambie, nini kizuri tumefundishwa kwenye dini kuhusu wayahudi? lwengo kuu la martin luther alifikiri akipata backup ya serikali kuwaumiza watabadili dini ya judaism wawe wakristo.
Kwanini walikuwa wanateswa mataifa mbali mbali?
 
Kwanini walikuwa wanateswa mataifa mbali mbali?

Mathayo 24:9​

Wakati huo watawasaliti ninyi mpate dhiki, nao watawaua; nanyi mtakuwa watu wa kuchukiwa na mataifa yote kwa ajili ya jina langu.
 
Martin Luther baba wa imani wa Waluther ( yaani Lutheran/ wanaomfata Luther) hakua na mtazamo chanya juu ya wayahudi.

Wanahistoria wanakubaliana kua msimamo wake umechangia pakubwa kuenea kwa chuki dhidi ya wayahudi na kusababisha mauaji (holocaust).

Martin Luther aliamini wayahudi ni waongo na watu wabaya. Alitaka wamkubali Yesu Kristo na alipiga marufuku mafundisho yao.

Moja ya vitabu alivyoandika Martin Luther ni kitabu kijulikanacho kama
"The jews and thier lies"

Hii no Original cover ya kijerumani.

View attachment 2787390
Bado haujathibitisha chuki ya Martin Luther kwa Wayahudi.

Kwani kumuita mtu muongo ni kumchukia?

Mere allegations
 
Kwanini walikuwa wanateswa mataifa mbali mbali?
kwanza ni wivu wa maendeleo kwasababu wayahudi wanashirikiana kiuchumi hivyo wote wameinuana, hakuna maskini, pili chuki iliyoletwa kwa wakristo kwamba wao walimuua Yesu, tatu ukristo ulikua adui wa uyahudi tangu Yesu yupo na hata baada ya Yesu Kupaa wayahudi waliwindana sana na wafuasi wa ukristo (kumbuka namna paulo alivyobadili imani alikuwa njiani kwenda kukamata wakristo) huo uaduni haujawahi kwisha hivyo wakristo wote enzi za zamani waliishi wakijua wayahudi ni watu waliopotea kwasababu wamemkataa Yesu na ni wauaji wa Yesu hivyo ni watu wabaya, kwa upande wa waislam hata kwenye kitabu chao wanaitwa "mayahudi" na wanastahili kuchinjwa. ni jamii gani sana duniani imewapokea? wakajiona wanatengwa na kila mtu, hivyo wakakubaliana na hali wakaunda umoja wao ulioendelea karne nyingi sana, wakiwa kwenye masinagogi yao uwa wanapeana na deals za kiuchumi na wanahesabiana na kusaidiana wao kwa wao wakajikuta wametawala dunia kiuchumi, hadi sasa wao ndio wametawala dunia kiuchumi. hizo ndio sababu za kuchukiwa.
 
utakuwa huwa huendi kanisani. tangu tukiwa wadogo sunday school tumefundishwa na kuimba nyimbo zinazoashiria wayahudi walimuua Yesu, hatujawahi kuimba kuwa wayahudi walifanya jambo lolote jema hata kututunzia tu Biblia.
Wimbo Gani Kwa mfano?
 
sasa hata hujui unabishania nini kwasababu inavyoonekana hata maana tu ya anti-semitism hauijui. wote unaorefer ni anti-semitic people na ndicho ninachokisema mimi kwamba kuna chuki nyingi ilisambazwa dhidi ya wayahudi na ndio maana waliuawa ujerumani. martin luther alianza kuisambaza miaka 400 kabla hitler hajazaliwa wakauawa, hivyo ni chuki ilichobebwa kwenye mnyororo wa watu wengi na vizazi vingi. ubishi wako umekalia wapi sasa, wakati hata wewe mwenyewe ni anti-semitic person (una chuki dhidi ya wayahudi)?

umewaita watoto wa uzao wa shetani? kivipi, mimi najua wayahudi ni watoto wa uzao wa Ibranim-isaka-Yakobo(israel) na miaka 400 kabla ya mwaka 1948 walisambaratishwa kwenda utumwani kwasababu ya dhambi zao ndio maana walikuwa nchi mbalimbali na walitunza imani ya kiyahudi (judaism). na huko walikoenda walizaliana pia na makabila mengine, mfano, kuna ashkenaz jews ambao ni wayahudi wa ulaya ukiwaangalia ni kama wazungu sanaa weupe wakati wayahudi hawakuwa weupe hivo walikuwa wekundu kidogo na uarabu kwa mbali. hii ilitokana na intermarriage na wazungu wa ulaya wale watoto wao ni wayahudi pia sawa tu na wewe kama unaitwa wambura ukienda kuzaa na mzungu mtoto wako atakuwa na ubini wa wambura hata kama atakuwa chotara wa kizungu. wayahudi wengine walikimbilia nchi za kiarabu kama yeman, iran na afrika kaskazini kama aljeria, misri,morrocco wapo kibao na wamezaliana na waarabu hivyo sura zao sio kama zile za ashkenaz, wengine walikimbila marekani,wengine walikimbilai urusi n.k. ujerumani, poland na austria walikuwa wengi zaidi. sasa utasemaje wayahudi feki? kwasababu wamechanganya na uzungu kidogo?
Uelewe anachosema jamaa hao Wayahudi feki mnaowaita wayahudi , wayahudi halisi hawana hayo mambo ya kishetani
 
Back
Top Bottom