kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Ubaya kwa ubaya ndo zuriLaiti kama wayahudi wangelikuwa na utu dunia ingekuwa sehem salama sana ya kuishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaya kwa ubaya ndo zuriLaiti kama wayahudi wangelikuwa na utu dunia ingekuwa sehem salama sana ya kuishi
Chuki dhidi ya Wayahudi Ulaya nzima imekuwepo hata kabla ya kuzaliwa Baba yake Adolf HitlerMaisha mabovu aliyopitia Hittler mtaani aliajiaminisha yameletwa na wayahudi, wayahudi ni wapambanaji kitambo hakuna Myahudi fukara Duniani sababu ya mifumo Yao ya malezi.
Hittler alikua na chuki za uchumi tu
Mimi ni mluther sijawah fundishwa lolote baya dhidi ya wayahudi.Wakatoliki ndo wana hayo mambo.kanisa la lutheran na martin luther mwenyewe wamechangia sana chuki iliyokuja kuleta mauaji ya wayahudi. martin luther alikuwa ni mjerumani na ndiko dhehebu hili lilikotokea. though wakati wa execution, inasemekana Sheheh Aman al Husseini aliyekuwa mshirika mkuu wa hitler (na alikuwa ni mufti wa Yerusalem kipindi cha British colonialism) alimwomba hitler afanye lolote lile ili wayahudi ambao tayari walishakuwa wamerudi wengi pale caanan na walikuwa wanaomba kuundwa upya kwa taifa lao, na maelfu walikuwa wanamiminika toka duniani wakikimbia mateso ili waunde nchi, yeye aliomba wayahudi hao wasirudi, bali wauawe hukohuko. na hitler alifanya kweli. ila martin luther ana mchango wake mkubwa sana.
wale tuliowahi kuishi kwenye ulutheran, tunajua, tangu tukiwa watoto tumekuwa tukifundishwa namna wayahudi walivyo watu wabaya, wauaji wa Yesu, makatili, nyimbo zetu na kila kitu kuhusu wayahudi ni ukatili na chuki tu. kama kuna mlutheran hapa aniambie, nini kizuri tumefundishwa kwenye dini kuhusu wayahudi? lwengo kuu la martin luther alifikiri akipata backup ya serikali kuwaumiza watabadili dini ya judaism wawe wakristo.
utakuwa huwa huendi kanisani. tangu tukiwa wadogo sunday school tumefundishwa na kuimba nyimbo zinazoashiria wayahudi walimuua Yesu, hatujawahi kuimba kuwa wayahudi walifanya jambo lolote jema hata kututunzia tu Biblia.Mimi ni mluther sijawah fundishwa lolote baya dhidi ya wayahudi.Wakatoliki ndo wana hayo mambo.
Nimejikuta nacheka tuuNini kinasababisha Maasai wachukiwe Tz na Serikali ya ccm?
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Swali zuri kwa ma chawa wa chamaNini kinasababisha Maasai wachukiwe Tz na Serikali ya ccm?
Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Ndio maana namshangaa huyo jamaa anavyosema kanisa la Lutheran ndio lililoanzishwa chuki dhidi ya wayahudi feki wa ulaya ,laiti angelijuwa kanisa Catholic iliwafunga ,kuwatesa na kuwaua kwenye ile campaign iliyoitwa Spanish inquisition ,iliyofanyika ulaya ,kipindi hicho kanisa ndio lilikuwa serikali hapo ulaya , monarchs walikuwa ceremonial figures Tu Ila pope na kanisa ndio walikuwa real power.Chuki dhidi ya Wayahudi Ulaya nzima imekuwepo hata kabla ya kuzaliwa Baba yake Adolf Hitler
muwe mnajipa muda wa kusoma vitabu na historia mkiwa hamna mihemko
1879 ilianzishwa sera kabisa ya kudhibiti mienendo ta tabia za Wayahudi huko Vienna miaka 10 kabla hajazaliwa Adolf
maeneo mengi walipo wayahudi Jamii inayowazunguka huwa haikubaliani na mienendo yao
Idadi ya Wayahudi waliopo Israel ni less than 10% ya population ya Wayahudi Duniani na maeneo yote hayo kuwa wanatambua kuwa hawana mahusiano mazuri na Jamii husika
sababu za kiuchumi na za kijamii ndio zinafanya mataifa makubwa yawe upande wa Israel ila yanafahamu hata katika Mataifa yao Wayahudi wanachukiwa sana
Acha uongo mimi ni mlutheri pia ni kipande kipi cha liturjia kinachofundisha chuki dhidi ya wayahudi feki wewe ?utakuwa huwa huendi kanisani. tangu tukiwa wadogo sunday school tumefundishwa na kuimba nyimbo zinazoashiria wayahudi walimuua Yesu, hatujawahi kuimba kuwa wayahudi walifanya jambo lolote jema hata kututunzia tu Biblia.
Ndio maana namshangaa huyo jamaa anavyosema kanisa la Lutheran ndio lililoanzishwa chuki dhidi ya wayahudi feki wa ulaya ,laiti angelijuwa kanisa Catholic iliwafunga ,kuwatesa na kuwaua kwenye ile campaign iliyoitwa Spanish inquisition ,iliyofanyika ulaya ,kipindi hicho kanisa ndio lilikuwa serikali hapo ulaya , monarchs walikuwa ceremonial figures Tu Ila pope na kanisa ndio walikuwa real power.
Na miaka hiyo waliwakamata wayahudi feki na kuwalazimisha kubadili dini kuingia catholism kilazima /conversors kule Spain ,Portugal ,England na mataifa mengine ,waliokataa waliuawa na kuteswa na wengine kufukuzwa kwenda nchi za North Africa
Wayahudi feki /khazars ni watu waovu sana na ndio maana wamekuwa hawaishi kwa ustaarabu na amani na jamii zote miaka yote . Kila taifa la ulaya at one time liliwafukuza hawa viumbe waovu .
Kuna kitabu hapa nimekiambatanisha hapaView attachment 2788570
Wayahudi wana tabia kama za magabacholi. Wanapenda sifa, kujitenga, wana roho mbaya hata kwenye nchi za wenzao, ni wachoyo, wabaguzi na wabinafsi wa kufa mtu. Pia, ni waongo duniani hakuna. Luther hana lolote nao ni tabia zao. Leo mtu akiwafanyia kweli magabacholi mtamsingizia Mtikila au tabia zao binafsi?Martin Luther baba wa imani wa Waluther ( yaani Lutheran/ wanaomfata Luther) hakua na mtazamo chanya juu ya wayahudi.
Wanahistoria wanakubaliana kua msimamo wake umechangia pakubwa kuenea kwa chuki dhidi ya wayahudi na kusababisha mauaji (holocaust).
Martin Luther aliamini wayahudi ni waongo na watu wabaya. Alitaka wamkubali Yesu Kristo na alipiga marufuku mafundisho yao.
Moja ya vitabu alivyoandika Martin Luther ni kitabu kijulikanacho kama
"The jews and thier lies"
Hii no Original cover ya kijerumani.
View attachment 2787390
mimi mwenyewe ni mzaliwa wa lutheran, soma vitabu vya historia ya anti-semitism, usibishe bure.Acha uongo mimi ni mlutheri pia ni kipande kipi cha liturjia kinachofundisha chuki dhidi ya wayahudi feki wewe ?
Wayahudi wanachukiwa kwa sababu ya mambo yao ya ovyo
Na kwa taarifa yako , Adolf Hitler hakuwa mlutheri ,acha kupotosha , Adolf Hitler alikuwa mkatoliki na alilelewa na kukua kwenye ukatoliki ,Tuambie sasa kwamba na wakatoliki nao ni antisemites .Maana huyo Adolf Hitler alipata baraka zote toka kwa pope Pius enzi hizo za mauaji ya gypsies , homosexuals ,communists na fake Jews hapo ulaya ,hii sio historia mpya, nimesali lutheran miaka yangu mingi sana kwa uzee huu, tumefundishwa ukatili tu wa wayahudi hasa tukiambiwa walimuua Yesu na ni kama vile tunafundishwa Yesu hakutakiwa kuuawa vile, sasa sijui ukombozi wetu ungetokea wapi? kuanzia mikanda ya Yesu tuliyoletewa tangu tukiwa wadogo inaonyesha tu ukatili wa wayahudi. nakumbuka nikiwa mdogo nikitoka kuangalia sinema ya Yesu, tulikuwa tunalia machozi kabisa kwa huruma na kuona wayahudi sio watu wa kawaida, wakatili, wauaji.
martin luther aligombana nao sana kwasababu walikataa kubadili dini toka uyahudi kwenda ukristo, akatofautiana nao sana na aliamini akiwa na backup ya serikali, basi anaweza kuwabadilisha kwa nguvu. ndio maana aliunga mkono sana serikali na serikali ikawa inapromote sera zake, na chuki dhidi ya wayahudi ikaenea tangu miaka ya 1500 hadi vizazi vya hitler. kanisa la lutheran ujerumani na scandinavian lilikua na nguvu sana na imagine karne karibia nne chuki iliendelea kwenye kanisa hilo hadi kipindi cha hitler. chuki hiyo hiyo ndio wajeruman wengi walikua nayo tangu wadogo. pia wivu, kwasababu wayahudi wote hakuna masikini hata mmoja, wanasaidiana, na ni wafanyabiashara wakubwa mno. sasa jamii inayowazunguka ilikuwa inawaonea wivu. walikuwa wafanya biashara wakubwa kiasi kwamba kila nchi waliyokuwepo ulaya walikuwa ndio wanashikilia uchumi na kuamua nani atawale nani asitawale, kama ilivyo leo marekani. sasa kwa watu masikini na wasio na shule kama hitler, alikuwa na chuki kwanza ya inferiority complex na ile kuamini kwamba mtu tajiri lazima ni tapeli, dhurumati na mkwepa kodi. chuki ya martin luther na wafuasi wake + wivu wa kiuchumi vilihamasisha sana holocost yao. hata magari mengi ya ujerumani na viwanda vingi walifanyishwa kazi kwa nguvu na kwasababu walikuwa na akili na elimu viliendelea haraka sana.
Hao wayahudi feki wanachukia na kila mtu kwa sababu ya ufedhuli wao .kanisa la katoliki lilifanya mateso mengi. ila tunachoongelea hapa ni holocost iliyouwa wayahudi milioni 6 na waliouwa walikuwa wajarumani, hii imeandikwa kwenye vitabu vingi tu, shida hamtaki kusoma na mnafikiri sisi tunaoandika ni wageni, sisi ni wenyeji huko lutherani tangu tukiwa wadogo. vitabu vingi sana vya anti-semitism vimeeleza haya na ni ya kweli. wakatoliki tangu enzi za Yesu hadi enzi za kina Nero na wenzake wote waliofuata waliwatesa sana ila hawakuua wengi kwa pamoja kama walivyofanya wajerumani kwenye holocost.
Hebu weka hapa kitabu cha kilutheri kinachofundisha antisemitismmimi mwenyewe ni mzaliwa wa lutheran, soma vitabu vya historia ya anti-semitism, usibishe bure.
Yesu alikufa kama kafara la dhambi, yeyote atakayemwamini akitubu dhambi anasamehewa dhambi zake, zinafutwa anakuwa msafi kabisa kama vile hajawahitenda dhambi. na bile kupitia Yesu humwoni Mungu, ndio maana ya kutukomboa kutoka kwenye utumwa wa dhambi na kutupeleka kwenye uhuru wenye utakatifu. dhambi ni kifungu, anayekutoa kwenye utumwa wa dhambi anakuwa amekukomboa.chapwa24 kwani Yesu alipokufa ameikomboa hii dunia kwa vipi?
Uongo.hii sio historia mpya, nimesali lutheran miaka yangu mingi sana kwa uzee huu, tumefundishwa ukatili tu wa wayahudi hasa tukiambiwa walimuua Yesu na ni kama vile tunafundishwa Yesu hakutakiwa kuuawa vile, sasa sijui ukombozi wetu ungetokea wapi? kuanzia mikanda ya Yesu tuliyoletewa tangu tukiwa wadogo inaonyesha tu ukatili wa wayahudi. nakumbuka nikiwa mdogo nikitoka kuangalia sinema ya Yesu, tulikuwa tunalia machozi kabisa kwa huruma na kuona wayahudi sio watu wa kawaida, wakatili, wauaji.
martin luther aligombana nao sana kwasababu walikataa kubadili dini toka uyahudi kwenda ukristo, akatofautiana nao sana na aliamini akiwa na backup ya serikali, basi anaweza kuwabadilisha kwa nguvu. ndio maana aliunga mkono sana serikali na serikali ikawa inapromote sera zake, na chuki dhidi ya wayahudi ikaenea tangu miaka ya 1500 hadi vizazi vya hitler. kanisa la lutheran ujerumani na scandinavian lilikua na nguvu sana na imagine karne karibia nne chuki iliendelea kwenye kanisa hilo hadi kipindi cha hitler. chuki hiyo hiyo ndio wajeruman wengi walikua nayo tangu wadogo. pia wivu, kwasababu wayahudi wote hakuna masikini hata mmoja, wanasaidiana, na ni wafanyabiashara wakubwa mno. sasa jamii inayowazunguka ilikuwa inawaonea wivu. walikuwa wafanya biashara wakubwa kiasi kwamba kila nchi waliyokuwepo ulaya walikuwa ndio wanashikilia uchumi na kuamua nani atawale nani asitawale, kama ilivyo leo marekani. sasa kwa watu masikini na wasio na shule kama hitler, alikuwa na chuki kwanza ya inferiority complex na ile kuamini kwamba mtu tajiri lazima ni tapeli, dhurumati na mkwepa kodi. chuki ya martin luther na wafuasi wake + wivu wa kiuchumi vilihamasisha sana holocost yao. hata magari mengi ya ujerumani na viwanda vingi walifanyishwa kazi kwa nguvu na kwasababu walikuwa na akili na elimu viliendelea haraka sana.