Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
J. S. Warioba alikuwa anabishana na Nyerere wakati Nyerere ni rais na Warioba ni Mwanasheria Mkuu wa serikali.Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.
Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Kuwa mkweli hadi kipindi kile anabisha na hayati Sokoine alikuwa na chuki?Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.
Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Nibhule uleyomba bholongoBhebhe nang"ho, nale chiza gete
Huna hoja yoyote bali fitina. Eti warioba aichukie serikali ili apate nini? Serikali yetu ni ya hovyo haijawahi kutokea. Simpo.Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.
Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Acha majunguZa ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.
Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Rubish, wakati mwingine tufikirie vizuri sana, tuna viongozi wasiotaka kuulizwa maswali hata na wana habari!!hii ni sawa???,wanapotokea watu mbele ya wanahabari na kuongea kwa uwazi,mnazusha upuuzi!tuwashauri waje kuongea mbele ya wanahabari na waruhusu maswali .Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.
Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Sawa CHAWA tumekupata. Kuna teuzi ni kwa kujuana?Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.
Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Agayaa gashinagaGwa ng"ana, namhala ng'weneyo wapandekaga lusalo
Awamu hii kazidi,awamu ya tatu,nne,tano hakuwa hiviJ. S. Warioba alikuwa anabishana na Nyerere wakati Nyerere ni rais na Warioba ni Mwanasheria Mkuu wa serikali.
Alikuwa anamfundisha sheria Nyerere bila woga, mpaka Nyerere anakubali kushindwa.
Hajaanza hivi karibuni kukosoa uongozi.
Acha siasa za majitaka.
Akibisha ujue anakusudia!J. S. Warioba alikuwa anabishana na Nyerere wakati Nyerere ni rais na Warioba ni Mwanasheria Mkuu wa serikali.
Alikuwa anamfundisha sheria Nyerere bila woga, mpaka Nyerere anakubali kushindwa.
Hajaanza hivi karibuni kukosoa uongozi.
Acha siasa za majitaka.
Labda kaona anazeeka anakaribia kufa asiposema sasa hatasema milele.Awamu hii kazidi,awamu ya tatu,nne,tano hakuwa hivi