Chuki za Joseph Sinde Warioba dhidi ya serikali zilianza baada ya Kippi Warioba kuondolewa kwenye ukuu wa Wilaya

Chuki za Joseph Sinde Warioba dhidi ya serikali zilianza baada ya Kippi Warioba kuondolewa kwenye ukuu wa Wilaya

Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Tatizo kuu la Ccm hampendi ukweli, mmezowea uongo wizi, mauaji na kusifiwa maujinga.
Baada ya Mzee wa watu kuwa pasukia mna tafuta mti wa kushika.
Nani kakuambia Kippi ana maisha ya shida.?
 
Back
Top Bottom