Vitoto vya mwaka 2000 vina shida sana; vimemjua Warioba juzi. Warioba alibishana na Nyerere na waziri mkuu wake bwana Sokoine kwa sheria yao ya uhujumu uchumi, alifikia hadi ku predict what could happen na ilitokea kweli hiyo prediction yake, Sokoine alikua anatisha those days, Warioba aliwakabiri both, PM na rais, huenda kipindi hicho huyo Kippi hata hakua kazaliwa, leo mtu kashiba zake kande huko anakuja na viji story vya kuokoteza. Miaka hi ya 2000, si ni Warioba aliyetofautiana na chama chake kuhusu katiba mpya na mfumo wa muungano? Mwanae alikua kanyang'anywa ukuu wa wilaya?