Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Warioba sio MTU wa Pwani Wala Dar ,Wala morogoro wala Zanzibar, Wala Lindi Wala mtwara ,kwamba utamkuta ni Mswahili kama ulivyo wewe Kinembe.Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.
Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Warioba Ni jabali la Kanda ya ziwa, yuko hivo Toka Enzi na Enzi