Chuki za Joseph Sinde Warioba dhidi ya serikali zilianza baada ya Kippi Warioba kuondolewa kwenye ukuu wa Wilaya

Chuki za Joseph Sinde Warioba dhidi ya serikali zilianza baada ya Kippi Warioba kuondolewa kwenye ukuu wa Wilaya

Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Alichokisema Kina ukwel ama hakuna? Nathan ungepinga Kwa hoja alaf mwshon utuonyeshe ni chuki binafsi tuu Kwa kuunganisha na iyo tuhuma yako
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Nyie wajinga wa ufahamu, hamjui kuwa Warioba aliwahi kumkosoa hata Mwalimu katika sakata la kumchagua kijana aliyempenda Chediel Mgonja kutokana na kuzuiwa na mahakama kuteuliwa nafasi yoyote serikalini.
Hii ilitokana na kuthibishwa kwa rushwa alizotoa Mgonja wakati wa uchaguzi.

Majuzi Warioba kakumbushia tena kuwa alipokuwa waziri wa sheria alimkatalia Sokoine na Mwalimu kupitisha sheria zinazokiuka haki za binadamu wakati wa kampeni dhidi ya wahujumu uchumi.
Na alisimamia katiba ya nchi.

Vijana msiojua tulikotoka hamumjui Warioba hata kidogo.
Mtoa mada kacheze gololi na watoto wenzio, mambo ya kisomi waachie wayajuayo.
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Labda umri wako unakufanya usiwe unamfahamu Warioba. Nina uhakika wanaomjua Warioba wakipita hapa watacheka na kukushusha vyeo.

Labda Msekwa ndiyo hajazoeleka sana hivyo, lakini siye Warioba. Hicho alichofanya ndiyo tabia yake.

Ova
 
Binafsi nimeamini tafiti zilizowahi kutolewa kuwa kati ya Watanzania 10 basi 5 ni vichaa. Wa Tz kweli wamevurugwa, ukiangalia mada zao humu lazima ushangae kuwa hivi km uraiani kupo hivi je walioko huko Mirembe wanafananaje. Aiseeee kazi ipo, maana ukikosoa shida (wewe ni pingapinga), ukisifia pia ni shida (utaitwa chawa).
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Uko sahihi
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Siasa mavitaka too late uvccm try again
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Umekurupuka, soma historia vizuri kabla haujaamua kujianika
 
Za ndaani kabisa ni kwamba Mzee Joseph Sinde Warioba chuki yake ilianza kuumuka baada ya mtoto wake kuondolewa kwenye nafasi ya ukuu wa Wilaya.

Kila akipata fursa lazima afurumushe makombora mazito, lakini chanzo ni hicho.
Wakuu wa wilaya wote wa enzi za JK na JPM hawapo tena punguza hadithi za kufikirika ukuu wa wilaya sio kazi ya kudumu unadhani Warioba haelewi Hilo.
 
Ukweli ni ukweli haijalishi nani anasema ukweli huo.
Iwe Mzee warioba ananongwa ya kuondolewa mwanae kwenye uongozi wa Serikali lakini ukipima maneno yake kipo kiasi kingi cha ukweli.
 
Warioba ni Mwikizu ni kabila Fulani lisilokubali kuburuzwa hata yy Jaji Warioba alikutana na changamoto kubwa mwaka 1995 kwenye kampeni zake pale Salama A Waikizu walikuwa wanamchana laivu kuwa hawajawaletea Maendeleo Kipindi akiwa Waziri Mkuu

Hata hivyo sera za Jaji Warioba zilikuwa ni za kitaifa kwamba yy hakuwa Waziri Mkuu wa Waikizu mm ni Msukuma niliona kabisa A guy is Presidential Material.
 
Back
Top Bottom