Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Yule Mzee ana matatizo mkuu.Kweli....
Mimi si mshabiki wa england mkuu , lakini kiukweli kocha huyu kaboronga sana , unamuachaje Vardy nje ?Mechi inayofuata akicheza na wakashindwa utasema nini..? timu nzima mbovu
Hana lolote analojua , yule mzee kavurugwa mkuu .Nadhani kama angekuwa hamuhitaji (kwa chuki kama ulivyoandika) basi asingemwita kabisa kikosini.
Nadhani kocha mwenyewe anajua kwanini hakumchezesha.
inambidi kumuamini Sturridge kwa sababu jamaa huwa ana kitu amaizingWewe ungekuwa ndiyo kocha wa Uingereza, ungechezesha wachezaji gani? Tupia kikosi chako cha kwanza na akiba!
Na kingibe cha ajabu ni vile Harry Kane kawa mpiga kona na Sterling mbili kimo yupo ndani ya box.. Anyway England ni kama Taifa Stars..hawafiki mbali.Sasa ni dhahiri kwamba kocha huyu kikongwe anazo chuki binafsi.
Katika hali ya kawaida huwezi kumwacha benchi Jamie Vardy kama unataka kushinda , hii ni ajabu !
Ukiangalia kwa makini Vardy kila nafasi anayopata ndani ya 18 hesabu ni goli , habahatishi , kwenye game kama hizi usitarajie kupata nafasi nyingi sana , kwahiyo unahitaji mchezaji mwenye uwezo na asiyefanya ajizi kama Vardy .
First touch yake haina mfano , sasa unamuachaje benchi ?
Alimuacha DrinkWater akaleta mshangao dunia nzima , sasa hii shilingi nyingine anayoichezea itamrudisha nyumbani mapema sana , Hakuna striker wa England wa kumuweka benchi Vardy , utake usitake .
Stelling na Wilshere hata benchi wasingekaa! Kikosi mbele lazima kingekuwa na 4-4-2 mbele Vardy na Kane pmbeni Roney na Milner,kati Dier na Ali hapo full mzigo anapigwa yoyoteWewe ungekuwa ndiyo kocha wa Uingereza, ungechezesha wachezaji gani? Tupia kikosi chako cha kwanza na akiba!
Kubali tu kua yule mzee ni mwehu..England hakuna kocha.Nadhani kama angekuwa hamuhitaji (kwa chuki kama ulivyoandika) basi asingemwita kabisa kikosini.
Nadhani kocha mwenyewe anajua kwanini hakumchezesha.
Na pia unamuachaje Drinkwater ? Na kuwaingiza majeruhi.Mimi si mshabiki wa england mkuu , lakini kiukweli kocha huyu kaboronga sana , unamuachaje Vardy nje ?
Kweli kabisa mkuu na ligi bora itabaki kuwa laligaIshort, England Clubs, Timu Ya Taifa +Premier League hawajui mpira!!