Chuki za Roy Hodgson kwa wachezaji wa Leicester city kuiondoa England mapema euro 2016

mtazamo wa mashabiki pia upo'',..na maamuz mengine hata kama sio kocha unayaona tyu ni maamuziless

Ni kweli Loverness mashabiki pia wanamaamuzi, lakini pia maamuzi yao ni ya mwisho ana pengine wanasukumwa na mizuka ya watu fulani na uchezaji wao.

Lakini ujue kwamba Kocha ndio mwenye uamuzi wa mwisho na ndiye anawajibika pale akishindwa kuperform. Ujue kocha ana aina fulani ya uchezaji anaoutaka na aina fulani ya wachezaji wanaoweza kufuata maelekezo yake na kucheza jinsi atakavyo. Sasa suala la kusema kamuacha fulani anakamua sana kwenye ligi hilo hakuna mkuu.
 

Rooney hakucheza striker alicheza kiungo (kwangu alikuwa mmoja ya wachezaji 3(Rooney,Dier,Walker) bora wa England kwenye ile game ) na Harry Kane hakupewa mipira ya kufunga.Walioiangusha England ni Lalana,Sterling,Delle Alli hawakutengeneza nafasi za kutosha na kujaribu kufunga licha ya defence mbovu ya Russia
 

Ni suala la formation ya timu. Vardy ni mchezaji mzuri sana lakini ili timu iweze kufaidika naye, lazima watumie mfumo kama wa Leicester City. Wanaita building the team around a certain player.
 
Na hao wachezaji wa Leicester City hawakuwepo kwenye kikosi kilichocheza mechi za quqlification ya Euro
 
vardy ndio yule tokea first half alikuwa anaonekana anapasha kama anataka kuingizwa lakini hadi mwisho hakucheza Muhahahaahha
 
watanzania wanaujua sana mpira, sijui ni kwa nini timu yetu huwa haifuzu kushiriki mashindano!
Tupeni timu , mkimng'ang'ania mkwasa mtaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu milele .
 
Ni suala la formation ya timu. Vardy ni mchezaji mzuri sana lakini ili timu iweze kufaidika naye, lazima watumie mfumo kama wa Leicester City. Wanaita building the team around a certain player.
Sasa mlimuitia nini ? Hizo ni propaganda tu , ngoja nikuulize kitu , hivi barcelona inacheza sawa na argentina ? Mpira ni kama baiskeli ukiujua umejua tu , yule kocha anasumbuliwa na uzee .
 
Sasa mlimuitia nini ? Hizo ni propaganda tu , ngoja nikuulize kitu , hivi barcelona inacheza sawa na argentina ? Mpira ni kama baiskeli ukiujua umejua tu , yule kocha anasumbuliwa na uzee .
Kwa hiyo unachukua wachezaji 11 wanaojua mpira mengine yatajipa uwanjani?
 
Kwa hiyo unachukua wachezaji 11 wanaojua mpira mengine yatajipa uwanjani?
Ushahidi - imemchukua dk 10 tu Jamie Vardy kufunga goli , kaingia dk 46 kasawazisha dk ya 56 , Aibu kubwa sana imfikie Roy Hodgson na familia yake .
 
Stelling na Wilshere hata benchi wasingekaa! Kikosi mbele lazima kingekuwa na 4-4-2 mbele Vardy na Kane pmbeni Roney na Milner,kati Dier na Ali hapo full mzigo anapigwa yoyote

hao wote dawa yao ni Bonucci Barzagli na Chiellini
 
Ushauri wa bure - Mzee wangu Roy Hodgson acha chuki , chuki haifai .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…