Chukua dakika 3 kufikiria pale unapokuwa zuzu bila kujua

Chukua dakika 3 kufikiria pale unapokuwa zuzu bila kujua

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello family!!

Hebu fikiria kidogo kisa Cha kawaida mfano Mr X anamsema vibaya Mr Z kwa Mr Y kuwa Z si chochote ni fala hana pesa anaishi Sinza pa kishamba sana gari yake GX 100 japo iko fresh ila ya longtime kitambo yule bwege tu.

Cha ajabu Mr Y anaeambiwa hayo maneno anakaa Nyumba ya kupanga huko Makoka, hana Gari na pesa hamzidi Mr Z, na Mr Z huwa anagharamia sana bill kwenye vikao vya bar.

Je hasira za Mr X na hayo maneno anayosema kwa Mr Y kuhusu Mr Z kiuhalisia muathirika wa huo ujumbe ni Mr Y au Mr Z.

Tuwe makini kejeli na umbea vinaweza kukuathiri wewe msikilizaji kuliko mlengwa wa hizo habari.

Fikiria anaesemwa ujumbe wote yeye anakuzidi halafu msemaji kajiachia maneno ambayo kimsingi inabidi yakuchome wewe.

Tafakari chukua hatua motivational speakers wapo wa aina nyingi.

Wadiz na fikra kabla ya game ya Liverpool.
 
Hello family!!

Hebu fikiria kidogo kisa Cha kawaida mfano Mr X anamsema vibaya Mr Z kwa Mr Y kuwa Z si chochote ni fala hana pesa anaishi Sinza pa kishamba sana gari yake GX 100 japo iko fresh ila ya longtime kitambo yule bwege tu.

Cha ajabu Mr Y anaeambiwa hayo maneno anakaa Nyumba ya kupanga huko Makoka, hana Gari na pesa hamzidi Mr Z, na Mr Z huwa anagharamia sana bill kwenye vikao vya bar.

Je hasira za Mr X na hayo maneno anayosema kwa Mr Y kuhusu Mr Z kiuhalisia muathirika wa huo ujumbe ni Mr Y au Mr Z.

Tuwe makini kejeli na umbea vinaweza kukuathiri wewe msikilizaji kuliko mlengwa wa hizo habari.

Fikiria anaesemwa ujumbe wote yeye anakuzidi halafu msemaji kajiachia maneno ambayo kimsingi inabidi yakuchome wewe.

Tafakari chukua hatua motivational speakers wapo wa aina nyingi.

Wadiz na fikra kabla ya game ya Liverpool.
Mr Y kuendelea kusikiliza hizo mambo ni ujinga na ujuha .

Ila wewe Mr Y huo umasikini wako mpaka lini ?
 
Back
Top Bottom