Chukua hatua hizi kupata mwanamke anaekufaa kwenye maisha yako

Chukua hatua hizi kupata mwanamke anaekufaa kwenye maisha yako

Tomaa Mireni

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
2,395
Reaction score
2,391
Ile misemo ya zamani kuhusu ndoa miaka ya sasa haifanyi kazi kabisa.

Kulingana na ukosoaji wa jamii hakuna kijana anaetaka kuangalia tabia anapotaka kuoa badala yake sura ndio jambo la kwanza.

Kati ya wanawake wenye sura nzuri na mvuto wapo pia wenye tabia nzuri.
Swali linakuja je nitajuaje kuwa mchumba huyu ananifaa kuishi naye?
Ile dhana ya kumchukua na kuishi nae ili uchunguze tabia yake haiko sawa,inampotezea mwanamke muda na kumshushia heshima na kumfaidisha mwanaume.

FANYA HIVI
Kijana unapokuwa kwenye uchumba kila mtu aishi kwake lakini fanya juu chini muwe mnatembelea mara kwa mara. Kama bint anaishi kwa wazazi tumia muda mwingi kidogo unapoenda kwao,ukifika kwao chunguza jinsi mke mtarajiwa anavyoshuhulika na watu wengine. Kama kapanga je anaelewana na wapangaji wengine? Anaishi nao vipi?

SIFA ZA MWANAMKE ANAEFAA
Ana heshima,anajizuia,anajali na ana ufikirio kuelekea wengine. Je anampenda Mungu?

SIFA ZA MUDA MFUPI
Ukaribu na wewe:-muda mwingine ni muhemko tu wa kufanya ngono na wewe,mkishazoeana hii inaishaga.
Uzuri wa nje:- unaishaga unaweza kupatwa na jambo lolote likaharibu sura yake.

Mambo utakayoyaona kwa mchumba wako kaa ukijua ndio mambo utakayokutana nayo ukiweka ndani.
Huwe kumpata mke bora kwa kutoka nae siku moja moja tu na kuchat nae sababu ni rahisi kukuficha sifa zake.

HITIMISHO
Mambo anayofanya mke watu wengine ndio huwa anafanyia mume wake.
Je mkeo ana tabia gani anaposhuhulika na wengine?
 
Pince Harry alifanyiwa interview na James Corden aliulizwa ulijuaje Megan is the one? Akasema walivyoanza ku date walikuwa nyumbani mara nyingi, kutoka out ilikuwa ni baadaye sana so alivyokuwa ana interact naye kwenye mazingira ya nyumbani akaona she's the one. So inawezekana una point
 
Ile misemo ya zamani kuhusu ndoa miaka ya sasa haifanyi kazi kabisa.

Kulingana na ukosoaji wa jamii hakuna kijana anaetaka kuangalia tabia anapotaka kuoa badala yake sura ndio jambo la kwanza.

Kati ya wanawake wenye sura nzuri na mvuto wapo pia wenye tabia nzuri.
Swali linakuja je nitajuaje kuwa mchumba huyu ananifaa kuishi naye?
Ile dhana ya kumchukua na kuishi nae ili uchunguze tabia yake haiko sawa,inampotezea mwanamke muda na kumshushia heshima na kumfaidisha mwanaume.

FANYA HIVI
Kijana unapokuwa kwenye uchumba kila mtu aishi kwake lakini fanya juu chini muwe mnatembelea mara kwa mara. Kama bint anaishi kwa wazazi tumia muda mwingi kidogo unapoenda kwao,ukifika kwao chunguza jinsi mke mtarajiwa anavyoshuhulika na watu wengine. Kama kapanga je anaelewana na wapangaji wengine? Anaishi nao vipi?

SIFA ZA MWANAMKE ANAEFAA
Ana heshima,anajizuia,anajali na ana ufikirio kuelekea wengine. Je anampenda Mungu?

SIFA ZA MUDA MFUPI
Ukaribu na wewe:-muda mwingine ni muhemko tu wa kufanya ngono na wewe,mkishazoeana hii inaishaga.
Uzuri wa nje:- unaishaga unaweza kupatwa na jambo lolote likaharibu sura yake.

Mambo utakayoyaona kwa mchumba wako kaa ukijua ndio mambo utakayokutana nayo ukiweka ndani.
Huwe kumpata mke bora kwa kutoka nae siku moja moja tu na kuchat nae sababu ni rahisi kukuficha sifa zake.

HITIMISHO
Mambo anayofanya mke watu wengine ndio huwa anafanyia mume wake.
Je mkeo ana tabia gani anaposhuhulika na wengine?
Mwanamke ni tabia na sio sura wala umbo, endelea kuwadanganya wasioujua.
 
Point kubwa sana hii
Mwanamke ni tabia na sio sura wala umbo, endelea kuwadanganya wasioujua.
Haya ni mawazo mazuri lakini ya zamani kwa sasa kila kijana anataka mke mrembo,anayevutia. Nani anataka kukosolewa na ubaya wa mke? Na pia unaweza kupata mwanamke mrembo akawa na tabia nzuri na kuna wabaya pia wenye tabia mbaya na wachawi.
 
Umeeleweka Sana mkuu ila ckuiz watu Ni wavivu Sana hawana muda wa kufuatilia mienendo ya wenza wao.
 
Umeeleweka Sana mkuu ila ckuiz watu Ni wavivu Sana hawana muda wa kufuatilia mienendo ya wenza wao.
Ugumu unakuja kwenye muda,watu wako bize sana kiasi kwamba mambo tofauti na kazi zao hawana muda mwingine
 
Kijana kataa ndoa, huu ni mtego.... Alisikika shemeji ake liverpool vpn
 
Back
Top Bottom