Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Utasababisha manka anichome kisu sio kwa wivu wake uleUkiona kila siku kuna pesa inapotea kwenye wallet yako Kila wakati unapo ondoka home asubuhi. Basi wala hata usiumize sana kichwa kumtafuta mwizi wako,we Nunua packet 1 ya Dume au Salama(kandamu), katafute na PREGNANT TEST inayo soma Positive weka kwenye wallet yako then relax . Mwizi atajitokeza mwenyewe.[emoji1] [emoji1]
hatuwezi zidiwa akili na wezi sisi.
Nakuhakikishia lazima tu utamkamata. Yuko radhi kupokea adhabu yoyote utakayoamua kumpa kama mwizi lakini maumivu atakayoyapata kwa kuona hiyo Condom na kipimo yatamfichua tuKama huyo mwizi yupo jf hii njia itakuwa ngumu kumkamata
mkeo useme ni mwizi? hela yoyote iliyoko ndani ni mali ya familia hutakiwi kuhoji imetumikaje au imefanya nini, ukiwa na hela ni mkeo tu mwenye haki ya kuchukua na kutumia si vinginevyo kwani lazima akuombe nipe la hasha si anaenda tu kwenye mfuko wa suruali anachukua anatumia kwani zinatoka nje ya nyumbani kwenu. tuwaache sio wezi ni watunzaji wa mali zetu na walezi wa familia.
Hivyo vingine nimeelewa kasoro hiyo kandamuUkiona kila siku kuna pesa inapotea kwenye wallet yako Kila wakati unapo ondoka home asubuhi. Basi wala hata usiumize sana kichwa kumtafuta mwizi wako,we Nunua packet 1 ya Dume au Salama(kandamu), katafute na PREGNANT TEST inayo soma Positive weka kwenye wallet yako then relax . Mwizi atajitokeza mwenyewe.[emoji1] [emoji1]
hatuwezi zidiwa akili na wezi sisi.
Anajipima mwenyeweHiyo kipimo ya mimba positive unaipata wapi??
Nakuhakikishia lazima tu utamkamata. Yuko radhi kupokea adhabu yoyote utakayoamua kumpa kama mwizi lakini maumivu atakayoyapata kwa kuona hiyo Condom na kipimo yatamfichua tu
Duuhh we hujakua bado!yaani uende spitali kuokota hicho kidude afu uweke kwenye pochi??!!!angalia usije kupata kichocho tuHospital yoyote mkuu vimejaa
Tatizo lipo hapo "kutumia atakavyo"! Vingine anatakavyo havina faida kwa familia na pengine huyo mke anunulie hivyo wakati mahitaji muhimu ya familia ndani hakuna. Ridhaa ya mume iwepo hasa pale akiba ya cash inapokuwa limited...yani na wewe Musundi una kubaliana kuwa mke wa mtu anaweza akaitwa mwizi na mumewe kweli, kwani alichonacho mumewe si cha kwake na ana haki ya kutumia kama atakavyo au
Wizi ni pepo sio tabia tu, hivyo ukishamkamata kemea hadi pepo atoke au mpeleke kwa waombaji akaombewe ili pepo la wizi limtoke, ndo ataacha wizi.Ukisha mjua mwizi wako and then unachukua hatua gani? Kumbuka wizi ni tabia na kuiacha sio rahisi.
Yakikukuta utakuja hapa mkuumkeo useme ni mwizi? hela yoyote iliyoko ndani ni mali ya familia hutakiwi kuhoji imetumikaje au imefanya nini, ukiwa na hela ni mkeo tu mwenye haki ya kuchukua na kutumia si vinginevyo kwani lazima akuombe nipe la hasha si anaenda tu kwenye mfuko wa suruali anachukua anatumia kwani zinatoka nje ya nyumbani kwenu. tuwaache sio wezi ni watunzaji wa mali zetu na walezi wa familia.