Sijaoa kiongozi ndiyo maana labda umeona udhaifu huo kwenye comment yangu.
Sasa ukishagundua huwa anazichukua, kwanini usimweleze kwa upole na umakini!
Au ukitumia njia hiyo ndipo utafurahi?
Sitetei wizi bali naangalia uzito wa mke na kumfanyia ukatili huo