GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Huenda Mlevi wa upande Mmoja akamfuata Rafiki yake Mlevi HATARI wa upande mwingine au ikawa ni kinyume chake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijili wa timu au Siasa?Huenda Mlevi wa upande Mmoja akamfuata Rafiki yake Mlevi HATARI wa upande mwingine au ikawa ni kinyme chake.
Wakiongozwa na GENTAMYCINE ambaye Kutwa anachukiwa na wale wale ambao kila waingiapo JamiiForums ni lazima tu wapitie Mabandiko yake / Mada zake. Hakika ukibarikiwa na Mwenyezi Mungu ni Raha sana yaani Mijitu Kutwa INAUBIRI Kukuchukia lakini bado tu Kimoyomoyo inakukubali na haisikii raha Siku ipite hawajasoma ulichokiandika. ASANTE SANA MWENYEZI MUNGU KWA KUNIBARIKI PAKUBWA ZAIDI YAO.Wenye akili tumebaki wachache Tanganyika
Inaubiri!Wakiongozwa na GENTAMYCINE ambaye Kutwa anachukiwa na wale wale ambao kila waingiapo JamiiForums ni lazima tu wapitie Mabandiko yake / Mada zake. Hakika ukibarikiwa na Mwenyezi Mungu ni Raha sana yaani Mijitu Kutwa INAUBIRI Kukuchukia lakini bado tu Kimoyomoyo inakukubali na haisikii raha Siku ipite hawajasoma ulichokiandika. ASANTE SANA MWENYEZI MUNGU KWA KUNIBARIKI PAKUBWA ZAIDI YAO.
Kuna Walevi wawili Konki wako Kote Kote ila kuna uwezekano mkubwa sana Mmoja wao akamfuata Mwenzake Tim Tim.Funguka mkuu umewaacha wemgi
Eti ni mwanahabari ambae hajui kiswahili fasaha!Inaubiri!
Kama Aljazeera, BBC na CNN huwa wanakosea na Kuomba Radhi Mimi GENTAMYCINE ni nani nisikosee katika typing? Idiot.Eti ni mwanahabari ambae hajui kiswahili fasaha!
Hakuna typing error wala nini,sema wewe kiswahili fasaha kinakupiga chenga mwamba.Kama Aljazeera, BBC na CNN huwa wanakosea na Kuomba Radhi Mimi GENTAMYCINE ni nani nisikosee katika typing? Idiot.
Wewe kwa kujua Kwako kote Kiswahili na Kutamba nacho mbona hakijakusaidia na bado tu ni Masikini mkubwa mno?Hakuna typing error wala nini,sema wewe kiswahili fasaha kinakupiga chenga mwamba.
Endelea kunichokoza uipate nyingine ya muda mrefu zaidi. Nimewavumilieni vya kutosha na sasa nitawaripotini 24/7.
..Endelea kunichokoza uipate nyingine ya muda mrefu zaidi. Nimewavumilieni vya kutosha na sasa nitawaripotini 24/7.
Sawa mremboEndelea kunichokoza uipate nyingine ya muda mrefu zaidi. Nimewavumilieni vya kutosha na sasa nitawaripotini 24/7.