Huyo Gily ni mburushi alaf anasema yeye mchaga 😅😅😅Natuma Salam kwa Gily mwarabu mwenye macho mazuri 😁 natuma Salam pia kwa Baba wao ni wao popote alipo zamu ya hospital au nyumbani, salamu zingine zimfikie mkali wao wa kuandika JBourne59 Baba Hamida 😁 zingine ziende kwa mpenda mashangazi Analyse salamu za mwisho kwa mwanangu mwenyewe leadermoe rest well man tutaonana baadae.
😀😀😀😀sauli 3, al saedy 2 na majinja 1Kwamba waje kutubu kwa muanzisha uzi WA MIC..!! Dah..!! Wallah tutafika motoni hoiii..!!! Haya mamdogo Amehlo, Lenie na dada To yeye muungamishaji yupo tayari, nendeni. Sema kwa ninavyomjua muungamishaji, andaeni jibu la swali la mmetumia mic ngapi na za aina gani kutuma salamu mpaka sasa. Na mmetuma salamu kwa wangapi..!! Kama MIC zinajaa kwenye SAULI semeni tu..!!
Salam zimenifikia mpwa wangu. Natumai uko salama huko 😍aisee nianze na Half american, my wiii Lovie Lady uncle Analyse mshamba_hachekwi ye34nbe Binadamu Mtakatifu..natuma salamu kwenu nyote🤗
Bora useme wewe😂😂😂hiyo mic jamen....wanatutakia kesi tu😴
Salam zimefika kaka 😅😅
Tukuchukulie tu treni Sasa🤣😀😀😀😀sauli 3, al saedy 2 na majinja 1
😀😀😀😀😀au basiNimekuwa busy kidogo kwa siku mbili hizi. Ila soon ntarudi full time 😅😅
Asante rafikiaisee nianze na Half american, my wiii Lovie Lady uncle Analyse mshamba_hachekwi ye34nbe Binadamu Mtakatifu..natuma salamu kwenu nyote🤗
Kwa kweliTukuchukulie tu treni Sasa🤣
We hujawaza hivyo 😀😀😀Una akili mbaya Sana homie🤣🤣🤣🤣
Kulikoni tena? 😅😅😅😀😀😀😀😀au basi
ur welcome 😊🤗Asante rafiki
niko salama uncle🤗Salam zimenifikia mpwa wangu. Natumai uko salama huko 😍
Nashkuru kusikia hivyo ☺️☺️niko salama uncle🤗
Pouwaaisee nianze na Half american, my wiii Lovie Lady uncle Analyse mshamba_hachekwi ye34nbe Binadamu Mtakatifu..natuma salamu kwenu nyote🤗
Hahahah imepokelewaNatuma salamu kwa Binadamu Mtakatifu Ms eyes Amehlo
mrembo mmoja ila she is beast Clepatina
demu mmoja mkali wa hesabu Depal 😄