Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Odehaya mwanakwa😄
hutaki utongozw eeeh nani mbe wako?
ahahaha nimetuma salamu teyariYaani nilikua naangalia ningekuta hujanisalimia ungeona
My wetu msalimie sana unakotumaga salamu 😂🎤
😀😀😀😀😀😀daah ila hata ingekuwa weweWe mbinguni hutoboi
😀😀my wangu yaani mimi mwee ntaenda kuungama jumamosiMy wetu msalimie sana unakotumaga salamu 😂🎤
Mamdogo Amehlo mekupata, sema nini mamdogo, kuna mwamba kakuwahi shenzee taipu zakee..!!Ivan Stepanov unaweza usisalimiwe ngoja nikusalimie tu
Half american incase no one atatuma salamu kwako utatumia hii
Ngalikihinja ba mdogo nakusalimu
[emoji38]
Mamdogo, huko kunakoitwa mbinguni, nikikukuta wallah natoka, maana najua ntakuwa nimeingia chaka..!! Huko najua kutakuwa ni motoni tu mamdogo wallah tena..!! Si kwa kuwaza huko mamdogo.😀😀😀😀😀😀daah ila hata ingekuwa wewe
Ukutane na heading tu chukua mic tuma salamu😀😀 ungewaza nini
Ba mdogo ni leo tu nimeteleza siko hivo nakuhakikishia 😀😀Mamdogo, huko kunakoitwa mbinguni, nikikukuta wallah natoka, maana najua ntakuwa nimeingia chaka..!! Huko najua kutakuwa ni motoni tu mamdogo wallah tena..!! Si kwa kuwaza huko mamdogo.