Chukua MIC na utume Salamu

Chukua MIC na utume Salamu

😀😀😀😀😀😀daah ila hata ingekuwa wewe

Ukutane na heading tu chukua mic tuma salamu😀😀 ungewaza nini
Mamdogo, huko kunakoitwa mbinguni, nikikukuta wallah natoka, maana najua ntakuwa nimeingia chaka..!! Huko najua kutakuwa ni motoni tu mamdogo wallah tena..!! Si kwa kuwaza huko mamdogo.
 
Kionjo "napiga simu kibao ye hajashika, blue tick mbili zimeitika, bize koni wanamlambisha, namba yangu imesubirishwa".
Natuma salam kwa Katkit wagwan man!
 
😀😀😀😀😀😀daah ila hata ingekuwa wewe

Ukutane na heading tu chukua mic tuma salamu😀😀 ungewaza nini
Hhahhhah No Reply
 
Back
Top Bottom