Chukua muda wa kuzipumzisha hisia

Tunaruhusiwa kuvumilia na kuvumiliana ktk MAHUSIANO, lakini ili tuvumiliane, kuna masharti lazima yazingatiwe! 1. UVUMILIVU huo lazima utambuliwe, uheshimiwe na pia upewe mrejesho chanya! 2. UVUMILIVU wako kwa mwenza wako ni lazima uwe na dalili za kukulipa hapo mbeleni! 3. UVUMILIVU wako usikuumize ama kuwa sababu ya madhara kwako ikiwemo majeraha ya kimwili au iwe sababu ya kuharibika kwa maisha yako ya baadae, coz maisha ulikuwa nayo kabla yake na yataendelea baada yake!
5. VUMILIA huku ukijua hatakiwi kuvuka mstari! Elewa kwamba kuna mstari kati yako na uvumilivu, mstari huu usivukwe!
 
Mapenzi yanauma ila kumwacha aende ndo suluhisho ya yote!!!

We mwache aende, kuna furaha zaidi mbele yako kuliko yeye!! Siku zote amini hakuwa wako na wakati ukifika ukifika utampata wa kufanana nae....

Just let her/him go!!!!!!
Shida inakuja moyo unapokuwa radhi lakini mwili ukawa dhaifu ukakosa ujasiri wa kumwacha aende very very painful n difficult decision to make
 
Shida inakuja moyo unapokuwa radhi lakini mwili ukawa dhaifu.. Ukakosa ujasiri wa kumwacha aende.. Very very painful n difficult decision to make
Moyo ukikubali mwili utazoea tuu kuna mahali uvumilivu hufikia kikomo ni maamuzi yanayoumiza lakini kwa usalama wa moyo na nafsi ni lazima umwache aende.
 
Ahsante sana kaka mshana Jr. Nime kuelewa vizuri sana Ngoja nipumzishe hisia zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…