Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1534][emoji1548][emoji1545] umeshatoka kipindi kigumu ...jipe muda zaidi yatakwishaAksante kaka Mshana kwa ujumbe mzuri .
Nilijifariji nimvumilie labda atabadiika Lakini ikawa kila siku afadhali ya jana,niliumia sana kumwacha aende siku za mwanzo lakini kwa sasa naona kama na recovery ingawa bado mawazo yananitesa nataman tungesikilizana na kuelewana naimani tungezeeshana.
MITHALI 4:23
[emoji123][emoji123][emoji1534][emoji1548][emoji1545] umeshatoka kipindi kigumu ...jipe muda zaidi yatakwisha
Pole sana mkuu,huo mziki uliouopitia ndio naucheza sana hadi sio vizuri. Mbinu zote za usuluhishi zimegonga mwamba ***** lakini mwisho wa siku hawa viumbe sio wa kuwawekezea hisia na kuwaamini 100%.Aksante kaka Mshana kwa ujumbe mzuri .
Nilijifariji nimvumilie labda atabadiika Lakini ikawa kila siku afadhali ya jana,niliumia sana kumwacha aende siku za mwanzo lakini kwa sasa naona kama na recovery ingawa bado mawazo yananitesa nataman tungesikilizana na kuelewana naimani tungezeeshana.
MITHALI 4:23
Ni hatar sana boss ilifika mahali nkawa naskia maumivu makali sana ya moyo naimani kama nisingechukua maamuzi magumu mapema saa hii nisingekuwa napost jfPole sana mkuu,huo mziki uliouopitia ndio naucheza sana hadi sio vizuri. Mbinu zote za usuluhishi zimegonga mwamba ***** lakini mwisho wa siku hawa viumbe sio wa kuwawekezea hisia na kuwaamini 100%.
hahaaa, mi nmecheka hapo eti ulijaribu juzi, uligunduaje hauko tayari!?Nilipumzika almost mwaka mzima,nikajaribu juzi kwa kweli sipo tayari bado nimerudi katika mapumziko[emoji4]
Sikuyapa muda hayo mahusiano na hata mawasiliano yalikuwa hafifu hadi anitafute yeye, kiufupi sikuwa serious nikaona nisimpotezee kijana wa watu muda.hahaaa, mi nmecheka hapo eti ulijaribu juzi, uligunduaje hauko tayari!?
wacha na mimi nijaribuSikuyapa muda hayo mahusiano na hata mawasiliano yalikuwa hafifu hadi anitafute yeye, kiufupi sikuwa serious nikaona nisimpotezee kijana wa watu muda.
Sawa mkuuwacha na mimi nijaribu
Hakuna cha kurest wala kurestore, kimetoka kitu kiingie kitu 😇