Jchris14
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 801
- 2,057
Hili.? 🍏Huujui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili.? 🍏Huujui
Siyo kweli, mbona mimi nilipanda miti ya miembe, uzazi wa mpango na miashoki mwaka wa kumi na tano sasa na bado ninadunda tu? Miti yenyewe ilishakuwa mikubwa sana.Moderators reacted to your post with thanks...
🤣🤣🤣Mambo. Nikuulize wewe tangu umezaliwa umeisha wahi kuona mtu anapanda mbuyu?Kwako mkulima wetu Certified Hater
Ndio hilo mkuuHili.? 🍏
JichanganyeniHalf american koroma upasuke 😂, msamehe kwa Sasa 007
Ikiwezekana mkuuHahaha ha yaani aipite Dundani ?!!
Mboni ameusahau Mnazi?jehu kabisa hili!
Mkonge huujui? Angalia LoGo ya BOTHivi mti wanaogema magome na kutengeneza mkongo ni upi hapa bongo?
usibisheUpuuzi mtupu
Sidhani mkuu, hili halina shida.Ndio hilo mkuu
Miti ipi ni mizuri zaidi kupanda humu kwenye ma-nyumba tunaishi???This is Africa and its traditions
Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako
1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu
Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio
Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.
Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako
View attachment 3245114