Chukua Somo: Kama Umejenga/Upo kwako, Usipande miti ifuatayo..

Chukua Somo: Kama Umejenga/Upo kwako, Usipande miti ifuatayo..

Moderators reacted to your post with thanks...
Siyo kweli, mbona mimi nilipanda miti ya miembe, uzazi wa mpango na miashoki mwaka wa kumi na tano sasa na bado ninadunda tu? Miti yenyewe ilishakuwa mikubwa sana.

Bila shaka ni imani za kishirikana ndizo zinazotusumbua na kutawala mindset zetu.

Tubadilike nduguzanguni.
 
Mkuu hiyo ni imani yako uliyorithishwa toka kwa mababu zako.
 
Hivi mti wanaogema magome na kutengeneza mkongo ni upi hapa bongo?
 
This is Africa and its traditions

Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako

1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu

Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio

Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.

Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako

View attachment 3245114
Miti ipi ni mizuri zaidi kupanda humu kwenye ma-nyumba tunaishi???
 
Kijijini kwetu mbaazi tumekua tunalima hadi mashamba ya nyumbani na hakukuwahi kua na tatizo lolote kwetu, mi ashoki ninayo kwangu mingi tu na mingine mirefu sana kwasasa with NO problem, shida ni AJE kuhusu miti hi?
 
Back
Top Bottom