Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Well...akili za wavaa makobazi
Kwa hiyo wasiovaa makobazi hawana mambo ya asili wala mizimu ?!! ha ha ha ha
Sawa mkuu asante.kwa elimu !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well...akili za wavaa makobazi
jehu kabisa hili!
Hayo ndiyo mambo !Mimi wachawi au majini siwaogopi kwa sababu Sina ushirika nao au bifu nao tukikutana ktk spiritual world 🌎 kila mtu na hamsini zake
Ha ha ha haMimi sio dalali
Seriously ?!!Why this discussion ni kwa waafrika, mleta mada ukipiga picha na wachawi ndio nitaamini
Ko baba mwenye nyumba una nikazia chumba Cha 30k kwa mwezi😂🤣Mimi sio dalali
We falwa katafute chumba mkurangaKo baba mwenye nyumba una nikazia chumba Cha 30k kwa mwezi😂🤣
Asante mkuu, nilitaka nitukane sana, umeniwakilisha.Upuuzi mtupu
oya we boyka wa vikindu Vishu Mtata, ona huyu mwenye nyumba ana nitukana bila kosa arifu 😂🙄We falwa katafute chumba mkuranga
Punguza kuamini ujinga, ukute ni degree holder.This is Africa and its traditions
Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako
1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu
Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio
Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.
Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako
View attachment 3245114
Nishajua mpaka alipo kwa sasa 007 sishindwi kitu, unataka apewe adhabu gani??.oya we boyka wa vikindu Vishu Mtata, ona huyu mwenye nyumba ana nitukana bila kosa arifu 😂🙄
Miye ninayo minane sijui itskuwaje.siku hizi kuna vile vimiembe vidogo vya kisasa miti yake mifupi...sasa sijui anaongelea ile Local miembe mikubwa au?
Hahaha ha yaani aipite Dundani ?!!We falwa katafute chumba mkuranga
Half american koroma upasuke 😂, msamehe kwa Sasa 007Nishajua mpaka alipo kwa sasa 007 sishindwi kitu, unataka apewe adhabu gani??.
Hakika mkuu.... hatari mkuu wangu !