Chukua Somo: Kama Umejenga/Upo kwako, Usipande miti ifuatayo..

Chukua Somo: Kama Umejenga/Upo kwako, Usipande miti ifuatayo..

Hakuna Uchawi wenye Nguvu juu ya wana wa Mungu 😀 Hata wakifanya kafara zao wakichinja nikikuta kondoo kachinjwa naenda kumpika nakula, Nikikuta nazi imevunjwa naenda kupikia mchuzi 😀
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha...

Well....

Wiki iliyopita dogo mmoja na jirani yangu msela mbaya amekuta UNGO mpya chini ya mwembe mkubwa ndani yake ulikuwa na NDIZI KISUKARI...kajilia zile ndizi zote na ungo kampelekea demu wake....baada ya masaa 24 wazazi wake waliwaita WACHUNGAJI WA TAG hapo kwao.....

Wewe endelea tu kula hizo nazi za njia panda...ha ha ha
 
This is Africa and its traditions

Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako

1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu

Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio

Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.

Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako

View attachment 3245114
Siwezi bisha unachoamini lkn kisayansi hii miti panda mbali na nyumba kwakua mizizi yake inaenda mbali sana na kuhatarisha nyumba kua na mipasuko au kuja angusha nyumba baadae hiki ndio ninachofahamu
 
Ki ufupi watu maskini na watu wenye ujinga ujinga wa kuamini uchawi hawapatani na mazingira( Hawapendi miti).
Nenda uswahili huwezi kukuta hata mti mmoja.. Ukipanda mti ukiwa mkubwa unasakamwa hoo ndo uchawi wake, mara ndo kijiwe cha wachawi .. Watakuja upiga hata misumari ili ufe tuu.

Kwa wenye kujielewa wanajua umuhimu wa miti..

Tunapambana tuongeze Oxygen maana inazidi kupungua we una kuja na mbinu za ajabu eti usipande mitii flani kisa wachawi..
Umeongea ukweli, ukitaka kuujua ustaarabu wa mji fulani wewe anza kuangalia namna wanavyojali mazingira na kuyatunza.

Angalia miji ya wenzetu hata vijijini mazingira ni yametunzwa, njoo Africa sasa ni kichefuchefu.
 
Umeongea ukweli, ukitaka kuujua ustaarabu wa mji fulani wewe anza kuangalia namna wanavyojali mazingira na kuyatunza.

Angalia miji ya wenzetu hata vijijini mazingira ni yametunzwa, njoo Africa sasa ni kichefuchefu.
Nadhani ni hulka mbaya tu za baadhi yetu....ila wako wenye maarifa ya kutambua umuhimu wa miti.....

Mwafrika gani mjinga ataidharau miti ilihali mpaka leo hii wanaokwenda hospitali ni 70% tu ?!!
 
This is Africa and its traditions

Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako

1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu

Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio

Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.

Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako

View attachment 3245114
Inaumiza sana mwenyewe wakati unashusha huu uzi uliamini unatoa madini sana kumbe watu wanakuja kukudharau. ni ngumu sana kuiondoa CCM kwa vijana kama wewe kuendelea kuwepo nchini.
 
This is Africa and its traditions

Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako

1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu

Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio

Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.

Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako

View attachment 3245114
No reform, no Election
 
This is Africa and its traditions

Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako

1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu

Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio

Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.

Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako

View attachment 3245114
Mxiuu
 
This is Africa and its traditions

Miti ifuatayo sio mizuri sana kuipanda nyumbani kwako

1: Muembe
2: Mbaazi
3: Muashoki
4: Mpanga Uzazi
5: Mbuyu

Utakaribisha viumbe wa Ajabu Usiku ukiendekeza miti ya aina hio

Hio miti inapendwa na wachawi, Majini na mapepo ya Kila aina.

Chukua tahadhari Jilinde na Imani yako

View attachment 3245114
Mbaazi ni mti? Wewe umewakilisha kundi kubwa la WAJINGA wanaowaza ushirikina.
 
Back
Top Bottom