Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 2,026
- 4,450
Kwanza kabla ya kuandika uzi ulikaa chini na kifikiria, bei ya shamba au nyumba?
Siku nyingine uache kupangia watu vitu vya kufanya au kapanda kwenye mashamba yao au kwenye nyumba zao. Kila mtu ana imani yake kwa imani yako ina maana hiyo lakini kwa watu wengine haipo hivyo kama ulivyo-narrate hapo juu.
""Uchawi si nguvu zisizoonekana, bali ni ujanja wa akili na maarifa ya siri".
Siku nyingine uache kupangia watu vitu vya kufanya au kapanda kwenye mashamba yao au kwenye nyumba zao. Kila mtu ana imani yake kwa imani yako ina maana hiyo lakini kwa watu wengine haipo hivyo kama ulivyo-narrate hapo juu.
""Uchawi si nguvu zisizoonekana, bali ni ujanja wa akili na maarifa ya siri".