The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
Sasa mbona wanasema mbaazi inazuia uchawi hii vipiMimi ni mwafrika....
Hiyo ni kweli mkuu wangu....
2.Mbaazi....
Unaweza kuwa nayo ila isiwe mingi....
Mbaazi unatumika vyema "kupiga" na pia TIBA mbio....hasa masuala ya kichawi na mapepo....muhimu kuzijua tu njia zake.....
Ila "its true" WABOBEVU WA USIKU wanautumia mno....
Shukran mkuu wangu !