greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
- Thread starter
- #101
QNET haija orodheshwa kwenye soko la hisa...Hisa za Q net
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
QNET haija orodheshwa kwenye soko la hisa...Hisa za Q net
Soko la hisa la Dar es Salaam lina makampuni 26 yaliyo jiorodhesha. Katika hayo kuna makampuni yanayofanya vibaya na yale yanayo chechemea.
Tuangalie orodha ya makampuni yaliyo na hali mbaya na uchukue tahadhari kabla ya kuwekeza.
JATU
Hili lina husika na cloud farming. Naliweka kwenye orodha kwani sijaona hawajachapisha taarifa za fedha kwa mwaka wa pili mfululizo na hata ripoti yao mwaka haipo mitandaoni.
SWALA
Kampuni inayojihusisha na utafiti wa mafuta huko kitalu cha Morogoro.
-Haijawahi tengeneza faida kwani bado haijafanikiwa kupata hayo mafuta.
-Usije nunua hisa huko mana nchi yetu haina historia kupatikana kwa mafuta.
TATEPA
Mara ya mwisho mwisho hii kampuni kuweka taarifa zake za fedha ni mwaka 2020,nimezisaka mpaka .Ilikuwa na hasara ya Billioni 4.Ikiwa na madeni mengi kuliko amana. Na sioni kama Uongozi wa bodi yake kama una hangaika kuiokoa hii kampuni.
PRECISION AIRLINE
Hii kampuni ya ndege nahisi ishajifia,mana hakuna cha maana nilicho kiona kwenye taarifa zake.
Taarifa zake za mwisho ilikuwa ni za 2019 na zilionesha ilipata hasara ya zaidi ya Billion 44.
MUCOBA
Hii Benki ya wakulima Iringa ni ipo hoi kana kwamba hata taarifa zake hazipatikaniki. Wakinga, Wabena, Wapangwa na Wahehe wekezeni kwenye Benki yenu.
ĎCB
Hii Benki ya Halmashauri ya Jiji la Dar Ina zalisha faida kiduchu, haina mawazo ya ukuaji, haitoi gawio, haiwekezi kwenye tafiti, haina mipango mipya.
Chukua tahadhari unapotaka kuwekeza kwenye haya makampuni.
Uchambuzi huu nimefanya kwa kutumia data zilizopo mtandaoni,kusoma ripoti za mwaka na kuhudhuria baadhi ya vikao vya wanalima.
Karibuni mchangie.
DSE wanaruhusu vipi kampuni zilizopo kwenye masoko zinapita Quarter bila kutoa financial zao? Una maana watu wananunua hisa bila kusoma vitabu vya kampuni. Je tuna uwakika gani na valuation za hisa za Tatepa na Precision Airline kama financial zao hazipo published?Soko la hisa la Dar es Salaam lina makampuni 26 yaliyo jiorodhesha. Katika hayo kuna makampuni yanayofanya vibaya na yale yanayo chechemea.
Tuangalie orodha ya makampuni yaliyo na hali mbaya na uchukue tahadhari kabla ya kuwekeza.
JATU
Hili lina husika na cloud farming. Naliweka kwenye orodha kwani sijaona hawajachapisha taarifa za fedha kwa mwaka wa pili mfululizo na hata ripoti yao mwaka haipo mitandaoni.
SWALA
Kampuni inayojihusisha na utafiti wa mafuta huko kitalu cha Morogoro.
-Haijawahi tengeneza faida kwani bado haijafanikiwa kupata hayo mafuta.
-Usije nunua hisa huko mana nchi yetu haina historia kupatikana kwa mafuta.
TATEPA
Mara ya mwisho mwisho hii kampuni kuweka taarifa zake za fedha ni mwaka 2020,nimezisaka mpaka .Ilikuwa na hasara ya Billioni 4.Ikiwa na madeni mengi kuliko amana. Na sioni kama Uongozi wa bodi yake kama una hangaika kuiokoa hii kampuni.
PRECISION AIRLINE
Hii kampuni ya ndege nahisi ishajifia,mana hakuna cha maana nilicho kiona kwenye taarifa zake.
Taarifa zake za mwisho ilikuwa ni za 2019 na zilionesha ilipata hasara ya zaidi ya Billion 44.
MUCOBA
Hii Benki ya wakulima Iringa ni ipo hoi kana kwamba hata taarifa zake hazipatikaniki. Wakinga, Wabena, Wapangwa na Wahehe wekezeni kwenye Benki yenu.
ĎCB
Hii Benki ya Halmashauri ya Jiji la Dar Ina zalisha faida kiduchu, haina mawazo ya ukuaji, haitoi gawio, haiwekezi kwenye tafiti, haina mipango mipya.
Chukua tahadhari unapotaka kuwekeza kwenye haya makampuni.
Uchambuzi huu nimefanya kwa kutumia data zilizopo mtandaoni,kusoma ripoti za mwaka na kuhudhuria baadhi ya vikao vya wanalima.
Karibuni mchangie.
1. Nafkiri huwa wanaziwasilisha kwenye mamlaka husika za soko na CMSA bila kuwziweka openly tot the publicDSE wanaruhusu vipi kampuni zilizopo kwenye masoko zinapita Quarter bila kutoa financial zao? Una maana watu wananunua hisa bila kusoma vitabu vya kampuni. Je tuna uwakika gani na valuation za hisa za Tatepa na Precision Airline kama financial zao hazipo published?
Kwenye biashara unayoisimamia mwenyewe inajulikana kuna faida na hasara sasa haiwezekani kila siku uwe unapata hasara tu inayojirudia halafu hujiulizi unaendelea tu kufanya bila kubadilisha aina ya biashara.Pia anaweza kuingia Hasara ya miliioni 4 kila wiki...
1. Ina defeat the purpose ya capital market na kutengeneza information asymmetry. 2. This is wrong, kwenye NYSE unapata financials za tickers zote hata Yahoo finance, Morning Star na site ya SEC ukitoa paid Apps ambazo zina indepth analysis. 3. Investor (firms/retailers) should sue these guys. Inanipa picha kuna uwezekano Mkubwa sana haya makampuni kukwepa kutoa dividends kama hawatoi financials na wanahisa wanaona sawa.1. Nafkiri huwa wanaziwasilisha kwenye mamlaka husika za soko na CMSA bila kuwziweka openly tot the public
2.Ili kuzipata inabidi uzilipie ,Ukiingia kwenye App ya DSE kuna kipengere cha huduma za kulipia.
3.Ila matakwa ya kisheria ni kuweka taarifa hizo hadharani
Hapa kuna suala la1. Ina defeat the purpose ya capital market na kutengeneza information asymmetry. 2. This is wrong, kwenye NYSE unapata financials za tickers zote hata Yahoo finance, Morning Star na site ya SEC ukitoa paid Apps ambazo zina indepth analysis. 3. Investor (firms/retailers) should sue these guys. Inanipa picha kuna uwezekano Mkubwa sana haya makampuni kukwepa kutoa dividends kama hawatoi financials na wanahisa wanaona sawa.
Kwani ardhi yenye rasilimali madini chini ina hadhi ya kiwanja! Rudi darasani kaka.Hiyo ardhi lazima iwe na hadhi ya Kiwanja,,,mana hata kuna ardhi ina msitu tu,,,hauwezi nunua hii....
Kwanza andika kwa kiswahili cha kueleweka...Kwani ardhi yenye rasilimali madini chini ina hadhi ya kiwanja! Rudi darasani kaka.
Does land, with mineral deposits underground, have a status of a plot? Go back to your class brother!Kwanza andika kwa kiswahili cha kueleweka...
Bora kuwekeza kikoba kinachojielewaGharama ya hisa 1 ya voda = 550
mtaji wako ni 200,000,000
Idadi ya hisa utakazopata = mtaji wako /gharama ya hisa 1
=200,000,000/550
=363,636
so kwa hiyo hela utapata hisa 363,363
GAWIO
kwa mwaka wa fedha wa 2023
Bodi ya Vodacom Tanzania imependekeza gawio la Tsh.12 kila hisa 1.
jumla ya gawio= gawio kwa hisa x idadi ya hisa unazo miliki
=12 x 36,3636
=4,363,632
=Utapata tsh 4,363,632 kama sehemu ya faida ya kampuni yako ya Voda kwa mwaka 2023.....
Kwa mwaka 2021 sijaona kama walitoa gawio.
hili ndiyo Gawio lao dogo kulitoa kwa kipindi cha miaka 5,Gawio lao kubwa kutoa lilikuwa Tsh 24,ambapo lingekufanya upate tsh million 8+
Umesema Rostam alimiliki 15% ya hisa zote za vodacom Tanzania. Na sio hisa 15. Jiulize tu, ikiwa wewe kajamba nani unaweza kuwekeza milioni 200 (na haupo hata kwenye orodha ya officials wanaokaa kwenye kikao cha hesabu za kufunga mwaka. Na jina lako hata halitajwi. Vp kwa mtu ambaye anaingia kwenye kikao cha bodi ya wamiliki? Hao wanaomiliki asilimia kadhaa za hisa za kampuni ndio wanaopanga wakuuzie hisa moja kwa bei gani, hiyo hisa yako waipe faida kiasi gani kulingana na kiasi walichotenga kama gawio (ambayo ni sehemu ndogo tu kutoka kwenye faida). Na wanajipangia wao wale bilioni ngapi kama faida ya mwaka, ambapo hujipigia faida zao kwanza ndipo ninyi mpewe kilichobaki.kwanini Rostam Azizi alikuwa anamili hisa zaidi ya 15% VOdacom
Kwanini Bakhresa anamiliki hisa katika moja ya makampuni yaliyopo DSE
Watu hawanunui hisa kwasababu ya gawio tu,ila kuna kuzitumia hisa kama....
Na gawio laendana na faida ya kampuni husika.
- Dhamana katika kuomba mikopo
- kuongeza thamani ya pesa yake
- kuondoa uhangaikaji wa kuendesha biashara....
Ahsante kuwasanua wanjongeSoko la hisa la Dar es Salaam lina makampuni 26 yaliyo jiorodhesha. Katika hayo kuna makampuni yanayofanya vibaya na yale yanayo chechemea.
Tuangalie orodha ya makampuni yaliyo na hali mbaya na uchukue tahadhari kabla ya kuwekeza.
JATU
Hili lina husika na cloud farming. Naliweka kwenye orodha kwani sijaona hawajachapisha taarifa za fedha kwa mwaka wa pili mfululizo na hata ripoti yao mwaka haipo mitandaoni.
SWALA
Kampuni inayojihusisha na utafiti wa mafuta huko kitalu cha Morogoro.
-Haijawahi tengeneza faida kwani bado haijafanikiwa kupata hayo mafuta.
-Usije nunua hisa huko mana nchi yetu haina historia kupatikana kwa mafuta.
TATEPA
Mara ya mwisho mwisho hii kampuni kuweka taarifa zake za fedha ni mwaka 2020,nimezisaka mpaka .Ilikuwa na hasara ya Billioni 4.Ikiwa na madeni mengi kuliko amana. Na sioni kama Uongozi wa bodi yake kama una hangaika kuiokoa hii kampuni.
PRECISION AIRLINE
Hii kampuni ya ndege nahisi ishajifia,mana hakuna cha maana nilicho kiona kwenye taarifa zake.
Taarifa zake za mwisho ilikuwa ni za 2019 na zilionesha ilipata hasara ya zaidi ya Billion 44.
MUCOBA
Hii Benki ya wakulima Iringa ni ipo hoi kana kwamba hata taarifa zake hazipatikaniki. Wakinga, Wabena, Wapangwa na Wahehe wekezeni kwenye Benki yenu.
ĎCB
Hii Benki ya Halmashauri ya Jiji la Dar Ina zalisha faida kiduchu, haina mawazo ya ukuaji, haitoi gawio, haiwekezi kwenye tafiti, haina mipango mipya.
Chukua tahadhari unapotaka kuwekeza kwenye haya makampuni.
Uchambuzi huu nimefanya kwa kutumia data zilizopo mtandaoni,kusoma ripoti za mwaka na kuhudhuria baadhi ya vikao vya wanalima.
Karibuni mchangie.
Ahsante kuwasanua wanjongeSoko la hisa la Dar es Salaam lina makampuni 26 yaliyo jiorodhesha. Katika hayo kuna makampuni yanayofanya vibaya na yale yanayo chechemea.
Tuangalie orodha ya makampuni yaliyo na hali mbaya na uchukue tahadhari kabla ya kuwekeza.
JATU
Hili lina husika na cloud farming. Naliweka kwenye orodha kwani sijaona hawajachapisha taarifa za fedha kwa mwaka wa pili mfululizo na hata ripoti yao mwaka haipo mitandaoni.
SWALA
Kampuni inayojihusisha na utafiti wa mafuta huko kitalu cha Morogoro.
-Haijawahi tengeneza faida kwani bado haijafanikiwa kupata hayo mafuta.
-Usije nunua hisa huko mana nchi yetu haina historia kupatikana kwa mafuta.
TATEPA
Mara ya mwisho mwisho hii kampuni kuweka taarifa zake za fedha ni mwaka 2020,nimezisaka mpaka .Ilikuwa na hasara ya Billioni 4.Ikiwa na madeni mengi kuliko amana. Na sioni kama Uongozi wa bodi yake kama una hangaika kuiokoa hii kampuni.
PRECISION AIRLINE
Hii kampuni ya ndege nahisi ishajifia,mana hakuna cha maana nilicho kiona kwenye taarifa zake.
Taarifa zake za mwisho ilikuwa ni za 2019 na zilionesha ilipata hasara ya zaidi ya Billion 44.
MUCOBA
Hii Benki ya wakulima Iringa ni ipo hoi kana kwamba hata taarifa zake hazipatikaniki. Wakinga, Wabena, Wapangwa na Wahehe wekezeni kwenye Benki yenu.
ĎCB
Hii Benki ya Halmashauri ya Jiji la Dar Ina zalisha faida kiduchu, haina mawazo ya ukuaji, haitoi gawio, haiwekezi kwenye tafiti, haina mipango mipya.
Chukua tahadhari unapotaka kuwekeza kwenye haya makampuni.
Uchambuzi huu nimefanya kwa kutumia data zilizopo mtandaoni,kusoma ripoti za mwaka na kuhudhuria baadhi ya vikao vya wanalima.
Karibuni mchangie.
Unaifahamu fixed deposit lakini 10% sio mchezoBank karibu zote sasa zinatoa fixed deposit rate ya zaidi ya 10% kwa mwaka.
Naweza kukutajia bank chache kwa kukusaidia, DTB, Azania, TCB, DCB nk.
Doh mil 200 gawio mwaka mzima mil 3 sasa si bora hyo pesa mtu aweke utt ambapo atapata almost mil 22 kwa mwaka mzima...kwa mwez anapata si chin ya mil 1.8 kwa interest ya 0.99% kila mwezi hyo ni kwa mfuko wa ukwasi au liquid.Gharama ya hisa 1 ya voda = 550
mtaji wako ni 200,000,000
Idadi ya hisa utakazopata = mtaji wako /gharama ya hisa 1
=200,000,000/550
=363,636
so kwa hiyo hela utapata hisa 363,363
GAWIO
kwa mwaka wa fedha wa 2023
Bodi ya Vodacom Tanzania imependekeza gawio la Tsh.12 kila hisa 1.
jumla ya gawio= gawio kwa hisa x idadi ya hisa unazo miliki
=12 x 36,3636
=4,363,632
=Utapata tsh 4,363,632 kama sehemu ya faida ya kampuni yako ya Voda kwa mwaka 2023.....
Kwa mwaka 2021 sijaona kama walitoa gawio.
hili ndiyo Gawio lao dogo kulitoa kwa kipindi cha miaka 5,Gawio lao kubwa kutoa lilikuwa Tsh 24,ambapo lingekufanya upate tsh million 8+