Chukua tahadhari kabla haujanunua hisa za makampuni haya

Chukua tahadhari kabla haujanunua hisa za makampuni haya

Actually,kabla ya kulaumu,ungejikita kujua why haikuwa inatoa gawio...
i)Vodacom ndiyo kwanza ilikuwa imejiorodhesha kwenye soko la hisa,gharama za kuwa kwenye soko la hisa ni kubwa....
ii)2019/2020 covid ilisumbua kila kampuni,machache yalipona
iii) 2021 ilipeleka faida kwenye shughuli za kijamii

Usiwekeze kwenye kampuni kwa kuangalia gawio tu.

Lakini kasome taarifa za fedha mwaka juzi na jana ,,,Vodacom wametoa gawio.
Ni upuuzi mkubwa VODA siyo tu inapeleka faida kwenye shughuli za kijamii acheni upuuzi inawekeza kwa wanasiasa na kampeni ya chama tawala na faida nyengine inawekeza kwenye VODAFONE SOUTH AFRIKA.
hi ni kampuni ya kiduwanzi basi tu watanzani tu wanyonge.
Mtu amewekeza milioni 50 toka 2015 mpaka leo hana gawio la kufika milioni 1? WTF.
 
Ni upuuzi mkubwa VODA siyo tu inapeleka faida kwenye shughuli za kijamii acheni upuuzi inawekeza kwa wanasiasa na kampeni ya chama tawala na faida nyengine inawekeza kwenye VODAFONE SOUTH AFRIKA.
hi ni kampuni ya kiduwanzi basi tu watanzani tu wanyonge.
Mtu amewekeza milioni 50 toka 2015 mpaka leo hana gawio la kufika milioni 1? WTF.
Lazima sehemu ya faida irudi Afrika Kusini coz ndiyo kampuni mama....
Mkuu,wengine hawaweki pesa kisa gawio...Wengine wana ongeza amana ....
Ndiyo Rosta alikuwa na hisa za kutosha...
 
Naomba unieleweshe


Unaposema kwenye hisa mtaji wako unaongezeka tofauti ni bank fixed deposit
 
Naomba unieleweshe


Unaposema kwenye hisa mtaji wako unaongezeka tofauti ni bank fixed deposit
Unaweza ukanunua hisa 100 leo hii,ambapo kila hisa moja ni tsh 450 = umetumia 45,000.Baada ya mwezi mmoja thamani ya Hisa moja katika soko ika panda na kuwa tsh 500. Kwahiyo zile hisa 100 zako zitakuwa na thamani ya Tsh 50,000.
Hapo bado hauja husisha gawio litakalo tolewa mwisho wa mwaka.Na kumbuka kadri miaka inavyosogea na ndipo thamani ya bidha inapoongezeka basi na thamani ya hisa itakuwa ina panda tu.

Ila kwenye fixed deposit,ukiondoa ile Riba,hakuna ongezeko la thamani.
 
Hisa huwezi nunua tu kwamba utapata faida kuna hasara pia unaweza weka m200 ikapotea kama kampuni ikifa, so Hisa zinapanda na kushuka pia kumbuka ukinunua hisa,ukitaka kuuza mpaka upate mteja wa kumatch bei iliyopo sokoni kuna muda bei nazo zinakwamisha kuuza au kununua. So naona hapo katika 200 weka kama M30 tena kampuni strong.. usikilizie zinavyopanda. Kifupi zikipanda unauza, zikishuka unanunua..
Mkuu nikinunua hisa za milioni 200 voda gawio naweza pata kiasi gani kwa mwaka? Kwa mtazamo wako, kununua hisa za milioni 200 na kununua kiwanja cha biashara chenye thamani hiyo ni upi uwekezaji bora?
 
Naomba unieleweshe


Unaposema kwenye hisa mtaji wako unaongezeka tofauti ni bank fixed deposit
 
Ushauri wangu wa mwisho, watafte mataahira wenzio uwafundishe, sio mimi. Huna unachokijua kuhusu uwekezaji ambacho mimi sikijui. Sina kitu nachoweza kujifunza kutoka kwako.

Kukuonyesha huna unachokijua, hujui kuna tofauti kubwa kati ya fixed deposit account na saving account na mimi hakuna mahala popote niliongelea saving account ila kwa kua wewe ni hakuna kitu unadhani vinafanana. Hii ni ya mwisho nakujibu. Tafta wenye uelewa wa level yako mjadiliane kuhusu uwekezaji wa hisa DSE, mimi sio level yako, nimekutangulia mbali.
Uko sawa kabisa jamaa ni mweupe kwenye investment issues
 
Hisa is a long term game labda kama ni speculator (kutafuta faida ya haraka), faida kubwa ya hisa sio gawio tuu, faida kubwa ni kupanda kwa thamani ya hisa na inachukua miaka mingi, mfano hisa za Microsoft miaka 10 iliyopita zilikuwa dollar kama 25 lakini leo bei ni zaidi ya dollar 400, au Hisa za NVIDIA miaka 10 iliyopita zilikuwa cent 30 leo ni zaidi ya dollar 100 kwa hisa, piga hesabu utaelewa vizuri sina haja ya maelezo marefu, hata TBL ziliwahi kuwa shilling 20 ila leo ni ngapi?
Ni sawa lkn sio kila kampuni inafanya vzr sokoni maana kuna kupanda kwa thamani ya hisa na kushuka na sio kila kampuni inatoa gawio kila mwaka. Mfano toka benki ya walimu imeingiza hisa zake sokoni kwa bei ya shilling 500@ hisa ilipanda wiki ya kwanza tu mpaka shilingi 600@hisa mpaka leo ni mwaka wa saba benki haijawai kutoa ata gawio na bei ya hisa imeshuka mpaka shilling 350 kwa hisa. Sasa kwa mtu au taasisi kama iliyokuwa mifuko ya pension kama LAPF, PSPF walio wekeza mabilioni wamevuna nn kwa miaka 7 je hzo pesa wangeziweka kwenye fixed deposits ambapo mwekezaji ana uwezo wa kunegotiate interest kulingana na kiasi anachotaka kuwekeza wangekuwa wamevuna kiasi gani kwa sasa? Binafsi nilinunua hisa za milioni 5 amabazo ni hisa 10000 lakini ile certificate yao uwezi kuipeleka popote ikawa dhamana sio ata kwa benki yao wenyewe. Hisa zimeshuka bei mpaka 350 kwa hisa kwa maana sasa hv sio tena milioni 5 ila ni milioni 3.5 kibaya zaidi haziuziki sokoni kwa sababu demand yake ni zero. Alafu uongozi umekaa na kurelax kama hakuna kinacho endelea.
 
Ni sawa lkn sio kila kampuni inafanya vzr sokoni maana kuna kupanda kwa thamani ya hisa na kushuka na sio kila kampuni inatoa gawio kila mwaka. Mfano toka benki ya walimu imeingiza hisa zake sokoni kwa bei ya shilling 500@ hisa ilipanda wiki ya kwanza tu mpaka shilingi 600@hisa mpaka leo ni mwaka wa saba benki haijawai kutoa ata gawio na bei ya hisa imeshuka mpaka shilling 350 kwa hisa. Sasa kwa mtu au taasisi kama iliyokuwa mifuko ya pension kama LAPF, PSPF walio wekeza mabilioni wamevuna nn kwa miaka 7 je hzo pesa wangeziweka kwenye fixed deposits ambapo mwekezaji ana uwezo wa kunegotiate interest kulingana na kiasi anachotaka kuwekeza wangekuwa wamevuna kiasi gani kwa sasa? Binafsi nilinunua hisa za milioni 5 amabazo ni hisa 10000 lakini ile certificate yao uwezi kuipeleka popote ikawa dhamana sio ata kwa benki yao wenyewe. Hisa zimeshuka bei mpaka 350 kwa hisa kwa maana sasa hv sio tena milioni 5 ila ni milioni 3.5 kibaya zaidi haziuziki sokoni kwa sababu demand yake ni zero. Alafu uongozi umekaa na kurelax kama hakuna kinacho endelea.
Hapo hapo unajisahaulisha kwamba ndani ya hiko kipindi....
Kuna benki takribani tano zilifirisika na kufungwa....
Je ,watu walioweka fedha zao kwenye fixed account huko,hawaja ingia hasara....
 
Uko sawa kabisa jamaa ni mweupe kwenye investment issues
Mjuzi wa uwekezaji.....
1.Tuambie ulitumia vigezo vipi mpaka ukaone benki ya walimu inafaa na ukaamua kanunua hisa za benki ya walimu...?

2.Au ulinunua hisa kwa kukurupuka kisa ulisikia kuna IPO mpya sokoni.....?
 
Hapo hapo unajisahaulisha kwamba ndani ya hiko kipindi....
Kuna benki takribani tano zilifirisika na kufungwa....
Je ,watu walioweka fedha zao kwenye fixed account huko,hawaja ingia hasara....
Kwani benki zikifirisika unafikili wateja hawalipwi pesa zao au unafikili benki hazina regulaiter?
 
Back
Top Bottom