Chukua tahadhari kabla haujanunua hisa za makampuni haya

Chukua tahadhari kabla haujanunua hisa za makampuni haya

ukijua kitu haina ya kusema unajua ,,,knowledge haijichi.....
Kanakwamba unaona mfumo wa Fixed deposit ya Benki ni sawa na Hisa,basi dhahiri hauna unachojua,,,,
yaani Saving account uipambanishe na Investment scheme 😀😀
Ushauri wangu wa mwisho, watafte mataahira wenzio uwafundishe, sio mimi. Huna unachokijua kuhusu uwekezaji ambacho mimi sikijui. Sina kitu nachoweza kujifunza kutoka kwako.

Kukuonyesha huna unachokijua, hujui kuna tofauti kubwa kati ya fixed deposit account na saving account na mimi hakuna mahala popote niliongelea saving account ila kwa kua wewe ni hakuna kitu unadhani vinafanana. Hii ni ya mwisho nakujibu. Tafta wenye uelewa wa level yako mjadiliane kuhusu uwekezaji wa hisa DSE, mimi sio level yako, nimekutangulia mbali.
 
Bank karibu zote sasa zinatoa fixed deposit rate ya zaidi ya 10% kwa mwaka.

Naweza kukutajia bank chache kwa kukusaidia, DTB, Azania, TCB, DCB nk.
Labda Mimi sijui
1722745807255.png
1722745807255.png
 
Ushauri wangu wa mwisho, watafte mataahira wenzio uwafundishe, sio mimi. Huna unachokijua kuhusu uwekezaji ambacho mimi sikijui. Sina kitu nachoweza kujifunza kutoka kwako.

Kukuonyesha huna unachokijua, hujui kuna tofauti kubwa kati ya fixed deposit account na saving account na mimi hakuna mahala popote niliongelea saving account ila kwa kua wewe ni hakuna kitu unadhani vinafanana. Hii ni ya mwisho nakujibu. Tafta wenye uelewa wa level yako mjadiliane kuhusu uwekezaji wa hisa DSE, mimi sio level yako, nimekutangulia mbali.
wewe ndiyo haujui ndiyo maana ukafananisha....
usikumbatie ujinga,Jifunze,,,mbona kuna online course kibao..... 😀 😀 😀 😀
 
Milioni 200 kuzalisha milioni 4 kwa mwaka ni hasara na upotevu wa muda.
Mtu mwenye mtaji wa milioni 200 anatakiwa kuipata faida ya milioni 4 ndani ya wiki 1 tu.
Hisa is a long term game labda kama ni speculator (kutafuta faida ya haraka), faida kubwa ya hisa sio gawio tuu, faida kubwa ni kupanda kwa thamani ya hisa na inachukua miaka mingi, mfano hisa za Microsoft miaka 10 iliyopita zilikuwa dollar kama 25 lakini leo bei ni zaidi ya dollar 400, au Hisa za NVIDIA miaka 10 iliyopita zilikuwa cent 30 leo ni zaidi ya dollar 100 kwa hisa, piga hesabu utaelewa vizuri sina haja ya maelezo marefu, hata TBL ziliwahi kuwa shilling 20 ila leo ni ngapi?
 
kwanini Rostam Azizi alikuwa anamili hisa zaidi ya 15% VOdacom
Kwanini Bakhresa anamiliki hisa katika moja ya makampuni yaliyopo DSE

Watu hawanunui hisa kwasababu ya gawio tu,ila kuna kuzitumia hisa kama....
  • Dhamana katika kuomba mikopo
  • kuongeza thamani ya pesa yake
  • kuondoa uhangaikaji wa kuendesha biashara....
Na gawio laendana na faida ya kampuni husika.
Ikitokea kampuni imefirisika, ni nini wajibu wa kampuni kwa watu walionunua hisa kwao?
 
Hisa is a long term game labda kama ni speculator (kutafuta faida ya haraka), faida kubwa ya hisa sio gawio tuu, faida kubwa ni kupanda kwa thamani ya hisa na inachukua miaka mingi, mfano hisa za Microsoft miaka 10 iliyopita zilikuwa dollar kama 25 lakini leo bei ni zaidi ya dollar 400, au Hisa za NVIDIA miaka 10 iliyopita zilikuwa cent 30 leo ni zaidi ya dollar 100 kwa hisa, piga hesabu utaelewa vizuri sina haja ya maelezo marefu, hata TBL ziliwahi kuwa shilling 20 ila leo ni ngapi?
Ni biashara nzuri sana hii, ila kwa maelezo yako inamaana mnunuaji wa hisa anatakiwa kuwa na akili ya ziada kuchunguza future ya kampuni husika.

Naomba kujua, ni kwa namna gani kampuni husika itawajibika kwa mnunuaji wa hisa wakati ambapo itafirisika.?
 
Ni biashara nzuri sana hii, ila kwa maelezo yako inamaana mnunuaji wa hisa anatakiwa kuwa na akili ya ziada kuchunguza future ya kampuni husika.

Naomba kujua, ni kwa namna gani kampuni husika itawajibika kwa mnunuaji wa hisa wakati ambapo itafirisika.?
Kisheria kampuni ikifirisika na kama value yeyote imebaki inagawanywa kwa wahusika, wa kwanza kulipwa ni wanaodai kampuni Kama mabenki au supplier na wa mwisho ni wenye hisa, na anayeamua ni mahakama lakini kuna maelezo zaidi niliyokupa, pitia sheria za makampuni Tanzania zipo uelewe zaidi
 
Milioni 200 kuzalisha milioni 4 kwa mwaka ni hasara na upotevu wa muda.
Mtu mwenye mtaji wa milioni 200 anatakiwa kuipata faida ya milioni 4 ndani ya wiki 1 tu.
Hata hiyo 4m hakuna uhakika was kuipata.Njoo tufungue duka La vyakula vya Mifugo ma madawa kwa 10m tupige pesa
 
Kisheria kampuni ikifirisika na kama value yeyote imebaki inagawanywa kwa wahusika, wa kwanza kulipwa ni wanaodai kampuni Kama mabenki au supplier na wa mwisho ni wenye hisa, na anayeamua ni mahakama lakini kuna maelezo zaidi niliyokupa, pitia sheria za makampuni Tanzania zipo uelewe zaidi
Na vipi ikitokea hiyo kampuni iliyofirisika wamewalipa suppliers na mabenki wanaowadai halafu baada ya hapo values/assets zote za kampuni zikawa zimeisha ni nini hatima ya wana hisa baada ya hapo?
 
Soko la hisa la Dar es Salaam lina makampuni 26 yaliyo jiorodhesha. Katika hayo kuna makampuni yanayofanya vibaya na yale yanayo chechemea.

Tuangalie orodha ya makampuni yaliyo na hali mbaya na uchukue tahadhari kabla ya kuwekeza.

JATU
Hili lina husika na cloud farming. Naliweka kwenye orodha kwani sijaona hawajachapisha taarifa za fedha kwa mwaka wa pili mfululizo na hata ripoti yao mwaka haipo mitandaoni.

SWALA
Kampuni inayojihusisha na utafiti wa mafuta huko kitalu cha Morogoro.
-Haijawahi tengeneza faida kwani bado haijafanikiwa kupata hayo mafuta.
-Usije nunua hisa huko mana nchi yetu haina historia kupatikana kwa mafuta.

TATEPA
Mara ya mwisho mwisho hii kampuni kuweka taarifa zake za fedha ni mwaka 2020,nimezisaka mpaka .Ilikuwa na hasara ya Billioni 4.Ikiwa na madeni mengi kuliko amana. Na sioni kama Uongozi wa bodi yake kama una hangaika kuiokoa hii kampuni.

PRECISION AIRLINE
Hii kampuni ya ndege nahisi ishajifia,mana hakuna cha maana nilicho kiona kwenye taarifa zake.
Taarifa zake za mwisho ilikuwa ni za 2019 na zilionesha ilipata hasara ya zaidi ya Billion 44.

MUCOBA
Hii Benki ya wakulima Iringa ni ipo hoi kana kwamba hata taarifa zake hazipatikaniki. Wakinga, Wabena, Wapangwa na Wahehe wekezeni kwenye Benki yenu.

ĎCB
Hii Benki ya Halmashauri ya Jiji la Dar Ina zalisha faida kiduchu, haina mawazo ya ukuaji, haitoi gawio, haiwekezi kwenye tafiti, haina mipango mipya.

Chukua tahadhari unapotaka kuwekeza kwenye haya makampuni.

Uchambuzi huu nimefanya kwa kutumia data zilizopo mtandaoni,kusoma ripoti za mwaka na kuhudhuria baadhi ya vikao vya wanalima.

Karibuni mchangie.
VODACOM umeiacha wapi?
Voda toka 2015 hakuna gawio, kila mwaka wanawekeza faida huko ?South Afrika, hisa zao haziuziki, ni hasara bora hata JATU.
 
Na vipi ikitokea hiyo kampuni iliyofirisika wamewalipa suppliers na mabenki wanaowadai halafu baada ya hapo values/assets zote za kampuni zikawa zimeisha ni nini hatima ya wana hisa baada ya hapo?
ndio umepoteza kila kitu na unakuwa mwisho wa safari, kumbuka hakuna investment yenye guarantee ya faida au hasara
 
NICOL ni kampuni ya uwekezaji,ilianzishwa na watanzania flani smart miaka takriban 20 iliyopita....
Mimi kwa mara ya kwanza nilinunua hisa kwao mwaka juzi,ambapo hisa ilikuwa ni tsh 450 lakini mpaka kufika sasa hisa zao zimeongezeka thamani mpaka kufika tsh 750.
  • ni wamiliki hisa katika benki ya CRDB,NMB
  • wamiliki hisa TWIGA CEMENT,TANGA CEMENT,TBL na DSE
  • Tangia 2021 mpaka sasa wamekuwa wakitengeneza faida ya zaidi ya billion 3 kwa mwaka.
  • lakini pia inamiliki kampuni ya Nyama ya Taifa na kampuni ya maendeleo ya uvuvi
Kwahiyo kampuni ya NICOL ndio nzuri kwa haya maelezo yako
 
VODACOM umeiacha wapi?
Voda toka 2015 hakuna gawio, kila mwaka wanawekeza faida huko ?South Afrika, hisa zao haziuziki, ni hasara bora hata JATU.
Actually,kabla ya kulaumu,ungejikita kujua why haikuwa inatoa gawio...
i)Vodacom ndiyo kwanza ilikuwa imejiorodhesha kwenye soko la hisa,gharama za kuwa kwenye soko la hisa ni kubwa....
ii)2019/2020 covid ilisumbua kila kampuni,machache yalipona
iii) 2021 ilipeleka faida kwenye shughuli za kijamii

Usiwekeze kwenye kampuni kwa kuangalia gawio tu.

Lakini kasome taarifa za fedha mwaka juzi na jana ,,,Vodacom wametoa gawio.
 
Soko la hisa la Dar es Salaam lina makampuni 26 yaliyo jiorodhesha. Katika hayo kuna makampuni yanayofanya vibaya na yale yanayo chechemea.

Tuangalie orodha ya makampuni yaliyo na hali mbaya na uchukue tahadhari kabla ya kuwekeza.

JATU
Hili lina husika na cloud farming. Naliweka kwenye orodha kwani sijaona hawajachapisha taarifa za fedha kwa mwaka wa pili mfululizo na hata ripoti yao mwaka haipo mitandaoni.

SWALA
Kampuni inayojihusisha na utafiti wa mafuta huko kitalu cha Morogoro.
-Haijawahi tengeneza faida kwani bado haijafanikiwa kupata hayo mafuta.
-Usije nunua hisa huko mana nchi yetu haina historia kupatikana kwa mafuta.

TATEPA
Mara ya mwisho mwisho hii kampuni kuweka taarifa zake za fedha ni mwaka 2020,nimezisaka mpaka .Ilikuwa na hasara ya Billioni 4.Ikiwa na madeni mengi kuliko amana. Na sioni kama Uongozi wa bodi yake kama una hangaika kuiokoa hii kampuni.

PRECISION AIRLINE
Hii kampuni ya ndege nahisi ishajifia,mana hakuna cha maana nilicho kiona kwenye taarifa zake.
Taarifa zake za mwisho ilikuwa ni za 2019 na zilionesha ilipata hasara ya zaidi ya Billion 44.

MUCOBA
Hii Benki ya wakulima Iringa ni ipo hoi kana kwamba hata taarifa zake hazipatikaniki. Wakinga, Wabena, Wapangwa na Wahehe wekezeni kwenye Benki yenu.

ĎCB
Hii Benki ya Halmashauri ya Jiji la Dar Ina zalisha faida kiduchu, haina mawazo ya ukuaji, haitoi gawio, haiwekezi kwenye tafiti, haina mipango mipya.

Chukua tahadhari unapotaka kuwekeza kwenye haya makampuni.

Uchambuzi huu nimefanya kwa kutumia data zilizopo mtandaoni,kusoma ripoti za mwaka na kuhudhuria baadhi ya vikao vya wanalima.

Karibuni mchangie.
Ndiyo kusema Mwalimu Commercial Bank (MCB) maarufu kwa jina la Benki ya Walimu, umeisahau kwa bahati mbaya! Au tayari na yenyewe ilishajifia kitambo tu!!
 
Back
Top Bottom