The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Bank karibu zote sasa zinatoa fixed deposit rate ya zaidi ya 10% kwa mwaka.Aya tutajie hiyo benki inayokupa fixed deposit ya 10%....
Na pili hiyo ndiyo lowest ambayo imepaata kutolewa na Voda within 5 years....
Lakini hapohapo huo mtaji 200M ungekuwa umeshaongezeka thamani kwa zaidi ya coz hisa za Voda zimekuwa zikiongezeka thamani...
Naweza kukutajia bank chache kwa kukusaidia, DTB, Azania, TCB, DCB nk.