Chukueni Siri hii

Kwanza jua wote uliowataja wanatokea kwenye familia zinazojiweza na pia licha ya wao kupata quality education walijituma na kuwa wabunifu .

Upo kwenye denial mkuu ila uswaze kaza utatoboa tu.
 
... Nadhani kuna ujumbe ulitaka kuuwasilisha ili na sisi tupate kujua Siri hiyo, bahati mbaya ni kwamba aidha umeasahau ulichotaka kusema au umeungana na kina Musk kuendelea kuificha siri hiyo........
 
Una kitu utafika mbali
 
Yani hata weewe uliyeleta hii habari ni miongoni mwa watu ambo hawajalifahamu hili. Maajabu
 
Upo sahihi,kabisa,we are spirits, na tunapaswa kuabudu spirit mkuu, kwa citations!,sasa citation tricks and turns huwa TATIZO!
 
Nasikitika kwamba mtoa Uzi yeye ni stoppable na ccm
 
dah sijui ni nyama ya simba au mamba, ongeza nyama na chochea moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…