Azimio la kazi
Senior Member
- Jun 7, 2023
- 138
- 452
- Thread starter
- #41
Hapana kaka, najua hamuwezi nielewa. Were spritual oriented broMkuu, sema kweli, umevurugwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kaka, najua hamuwezi nielewa. Were spritual oriented broMkuu, sema kweli, umevurugwa?
Basi sawaHapana kaka, najua hamuwezi nielewa. Were spritual oriented bro
Kwanza jua wote uliowataja wanatokea kwenye familia zinazojiweza na pia licha ya wao kupata quality education walijituma na kuwa wabunifu .Ipo hivi sisi binadamu ni roho, siku tulilifamu hili tutakuwa unstoppable kwenye Kila eneo la maisha yetu.
Hawa kina Elon musk, Bill gates na mwenzao wengi walifahamu Siri hii wakatumia Nguvu hiyo kumanipulate Mambo mbalimbali kwenye maisha yao hadi sasa they are unstoppable.
Ok thank you..niko na browser hakuna usumbufu [emoji4][emoji847] inakuja tu red dot kimyakimya...kama unatumia App ndo ujiandae kusumbuliwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ur welcome 😊🤗Ok thank you..
... Nadhani kuna ujumbe ulitaka kuuwasilisha ili na sisi tupate kujua Siri hiyo, bahati mbaya ni kwamba aidha umeasahau ulichotaka kusema au umeungana na kina Musk kuendelea kuificha siri hiyo........Ipo hivi sisi binadamu ni roho, siku tulilifamu hili tutakuwa unstoppable kwenye Kila eneo la maisha yetu.
Hawa kina Elon musk, Bill gates na mwenzao wengi walifahamu Siri hii wakatumia Nguvu hiyo kumanipulate Mambo mbalimbali kwenye maisha yao hadi sasa they are unstoppable.
I assure you, will come.[emoji16][emoji16]Ur welcome [emoji4][emoji847]
Sawa 😂I assure you, will come.[emoji16][emoji16]
Una kitu utafika mbaliIpo hivi sisi binadamu ni roho, siku tulilifamu hili tutakuwa unstoppable kwenye Kila eneo la maisha yetu.
Hawa kina Elon musk, Bill gates na mwenzao wengi walifahamu Siri hii wakatumia Nguvu hiyo kumanipulate Mambo mbalimbali kwenye maisha yao hadi sasa they are unstoppable.
Yani hata weewe uliyeleta hii habari ni miongoni mwa watu ambo hawajalifahamu hili. MaajabuIpo hivi sisi binadamu ni roho, siku tulilifamu hili tutakuwa unstoppable kwenye Kila eneo la maisha yetu.
Hawa kina Elon musk, Bill gates na mwenzao wengi walifahamu Siri hii wakatumia Nguvu hiyo kumanipulate Mambo mbalimbali kwenye maisha yao hadi sasa they are unstoppable.
Nasikitika kwamba mtoa Uzi yeye ni stoppable na ccmIpo hivi sisi binadamu ni roho, siku tulilifamu hili tutakuwa unstoppable kwenye Kila eneo la maisha yetu.
Hawa kina Elon musk, Bill gates na mwenzao wengi walifahamu Siri hii wakatumia Nguvu hiyo kumanipulate Mambo mbalimbali kwenye maisha yao hadi sasa they are unstoppable.