GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
mechi ya mwisho aliyocheza Berkane alikuwa man of the match halafu kaisha?Naamini safari hii mtamkataa wenyewe ameisha kama mnavyomkataa Bocco, hana jipya
Halafu wakamwachia kizembe?!!mechi ya mwisho aliyocheza Berkane alikuwa man of the match halafu kaisha?
Maajabu hayajawahi ishaHalafu wakamwachia kizembe?!!
Ingekuwa anaenda Kwenu Yanga SC haya yangekutoka? Mnafiki mkubwa Wewe.Naamini safari hii mtamkataa wenyewe ameisha kama mnavyomkataa Bocco, hana jipya
sasa takwimu inadanganya mkuu ,niambie basi wewe mechi ya mwisho kucheza akiwa berkane man of the match alikuwa Nani?Halafu wakamwachia kizembe?!!
mechi ya mwisho akichezea Berkane alikuwa man of the match , hayo ya kusema ameisha ni hisia zenu na matatizo yenuMaajabu hayajawahi isha
Makubaliano ya kibiasharaHalafu wakamwachia kizembe?!!
Hizo pasi zake labda akazipige akikutana na mtibwa au kagera sugarPape Ousmane Sakho, Kibu Denis na Medie Kagere watafunga Magoli mpaka Watachoka kwani mwenye Pasi zake na Fundi wa 'Miauta' Raia wa Zambia ameshatua nchini.
Kuna Watu sasa naona ile nia yao ya Ubingwa inaenda Kutoweka na tayari Coastal Union FC ya Tanga wameshaapa, kulishana Yamini na kusoma Kisomo na Jumapili kuna Watu wanaenda kupoteana mazima huko Tanga Mkwakwani Stadium Kudadadeki.
Tulia tu,sisi yanga hatuna la kusema tunajipanga tuPape Ousmane Sakho, Kibu Denis na Medie Kagere watafunga Magoli mpaka Watachoka kwani mwenye Pasi zake na Fundi wa 'Miauta' Raia wa Zambia ameshatua nchini.
Kuna Watu sasa naona ile nia yao ya Ubingwa inaenda Kutoweka na tayari Coastal Union FC ya Tanga wameshaapa, kulishana Yamini na kusoma Kisomo na Jumapili kuna Watu wanaenda kupoteana mazima huko Tanga Mkwakwani Stadium Kudadadeki.