Chuma kinanoa chuma

Nyoka sio kabisa,Chunya kule lupa nilimwona koboko,nadhani hata hakunikimbiza maana nisingemshinda mbio,ila nilikimbia aisee ule mwendo,ile siku ndio nilijua binadamu tuna uwezo wa kupaa sema tunajiendekeza tu.
 
Ase una moyo
 
Nyoka sio kabisa,Chunya kule lupa nilimwona koboko,nadhani hata hakunikimbiza maana nisingemshinda mbio,ila nilikimbia aisee ule mwendo,ile siku ndio nilijua binadamu tuna uwezo wa kupaa sema tunajiendekeza tu.
Umefanya nimecheka sana πŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…