Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ArushaNi mkoa gan nijihadhar mapema kuukanyaga
Ase una moyoLabda Leejay49, kama hawa wakijani nawaruhusu waende..
Ila kuna siku ni Mungu asee, umeme ulikatika, natoka ndani kwenda uani nilizunguka nyumba from front door, ile nafika kwenye geti dogo tu nasikia foooo! Nilirudi nyuma haraka sana, kurudi ndani kuchukua tochi jamaa wa kijivu ana unene kama inchi moja hivi asee, nilimkata kata balaa uzuri chepe lilikuwa refu kama yale ya wapakia mchanga kwenye malori hakunifikia kirahisi. Yule alikuwa anafuta penye joto maana ilikuwa kipindi cha mvua
Umefanya nimecheka sana 😃Nyoka sio kabisa,Chunya kule lupa nilimwona koboko,nadhani hata hakunikimbiza maana nisingemshinda mbio,ila nilikimbia aisee ule mwendo,ile siku ndio nilijua binadamu tuna uwezo wa kupaa sema tunajiendekeza tu.
Weeeee acha bas Arusha sehem gan mbona ndo nyumban kwetuArusha
Na anakukamatahuna baby wewe unalala peke yako kama kuku!, by the way hata kuku anakushinda!.. tafuta mchumba ulale nae alasivyo utakuwa unaota unakimbizwa hadi nakinyonga!
🤣Na anakukamata
Uku nilipo porin ngorongoro ukuWeeeee acha bas Arusha sehem gan mbona ndo nyumban kwetu
Hapo sawa weeeUku nilipo porin ngorongoro uku
Aaah weeee sanawar hakuna mambo hayo unataka kunitisha 😀Sanawari na Njiro 😃
nililala basiNdio yaani usilale kabisa
Nipe feedback ilikuwajenililala basi
nimelala saa saba had nikaamua kufanya meditation ndio kuja kupata usingiziNipe feedback ilikuwaje
Kazini leo utasinzia sananimelala saa saba had nikaamua kufanya meditation ndio kuja kupata usingizi
Sio koboko na chatu!?Huyu si King Cobra? maana huwa anakula nyoka wenzake..