Naomba nifahamishe. Usumbufu wake ni katika gharama za ujenzi au usumbufu gani unaozungumzia? Nimependa hiyo designHiii nyumba kubwa sana hata kwa kipato cha kati itakusumbua sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba nifahamishe. Usumbufu wake ni katika gharama za ujenzi au usumbufu gani unaozungumzia? Nimependa hiyo designHiii nyumba kubwa sana hata kwa kipato cha kati itakusumbua sana
Me master ilikuwa na 3.5×4 nilishaezeka, na madirisha tayari. Nimevunja ukuta nikaongeza 2m kuifanya iwe na 6×3.5 japo itakuwa kama darasa. Ila master bedroom has to a be bigger room.Mimi nimejenga master inaukubwa wa 5.3×3.8M²
Kingine ni 4.2×2.8M²
Cha mwisho ni 3.1×4.2M²
Choo ya public ni 5×1.8M²
Choo iliyokwenye master ni ndogo sana. Yenyewe ni 4×1.2M²
Mkuu ukivunja maana yake na linta unavunja? Nafikiria sana kuongeza ukubwa wa choo ya masterMe master ilikuwa na 3.5×4 nilishaezeka, na madirisha tayari. Nimevunja ukuta nikaongeza 2m kuifanya iwe na 6×3.5 japo itakuwa kama darasa. Ila master bedroom has to be bigger room.
Self bedroom ina 3.5×÷3.5 while normal bedroom 3.5×3
At least now nina amani. Naweza endelea na Finishing
Yeah, ila kama hautaigusa Valley basi gharama zitakuwa ndogo.Mkuu ukivunja maana yake na linta unavunja? Nafikiria sana kuongeza ukubwa wa choo ya master
Hiii nyumba kubwa sana hata kwa kipato cha kati itakusumbua sana
Vyumba vikubwa na vingi.. kama utajipanga pia sio tatizo mkuuu nisikuvunje moyoNaomba nifahamishe. Usumbufu wake ni katika gharama za ujenzi au usumbufu gani unaozungumzia? Nimependa hiyo design
Asante. Mie napenda sana vyumba vya kulala viwe na nafasi ya kutosha. Lakini maximum vyumba 4 vya kulala kwa upande wangu. Ngoja nijipange, Inshaallah Mungu atafanya wepesiVyumba vikubwa na vingi.. kama utajipanga pia sio tatizo mkuuu nisikuvunje moyo
Make sure hakipungui sqm 20 yaani 5m x 4m , utakuja kunishukuru baadae
Wew ndyo unadanganya master iwe 3x3Duuuu... Hlo chumba ni likubwa sanaaaa..... Unamdanganya mwenzako...
Standard ni 3x3m2 au kama master ni 3.5x3.5m2..
Hyo hapo ndio normal standard... Ila kama unataka bangaroo 4x4m2
Asante. Mie napenda sana vyumba vya kulala viwe na nafasi ya kutosha. Lakini maximum vyumba 4 vya kulala kwa upande wangu. Ngoja nijipange, Inshaallah Mungu
Vipi umefika atua gani? Imekula bati ngapi?Asante. Mie napenda sana vyumba vya kulala viwe na nafasi ya kutosha. Lakini maximum vyumba 4 vya kulala kwa upande wangu. Ngoja nijipange, Inshaallah Mungu atafanya wepesi
Mimi changu ni 8m x 6.5m kwa maana ya sqm 52Make sure hakipungui sqm 20 yaani 5m x 4m , utakuja kunishukuru baadae
Choo mita tano...aisee wafu mna mihela ya kuchezeaMimi nimejenga master inaukubwa wa 5.3×3.8M²
Kingine ni 4.2×2.8M²
Cha mwisho ni 3.1×4.2M²
Choo ya public ni 5×1.8M²
Choo iliyokwenye master ni ndogo sana. Yenyewe ni 4×1.2M²
[emoji23][emoji23]choo yake ndio ukubwa WA room yangu ya kulala[emoji23][emoji23]Ukiangalia wadau walivyosema, utagundua ukubwa wa chumba cha kulala hutegemeana na Matumizi,Utamaduni na kipato cha mtu.
UTAMDAUNI
Kuna designs za miji ya Japan na Korea,bedsitter/studio huwa na chumba cha mita 2 kwa 2.
MATUMIZI
Je,chumba cha kulala kwa ajili ya mtoto au mzazo
Je,Chumbani kutakuwa na samani nyingine
KIPATO
Kwa matajiri na watawala, vyumba vya kulala inaweza fika mita 10 kwa 8.
Just fikiria, nishawahi design Nyumba,mjamaa choo chake kina ukubwa wa mita 3 kwa 3.
18ft za Sebure tu hiyo nyumba inakuwa na ukubwa gani ?Weka Mita 5 Kwa 5 , unapata fresh air zingatia pia sebule iwe 6 Mita Kwa 6 sehemu ni mbili za kuenjoy maisha yako mm nikiwa mapumziko nashinda sebuleni asubuhi ad usiku nawatch movie napata fresh air with piece of mind ukikosea hapo nyumba inakuwa kama godown utaenjoy
Chumba 15ft kwa12ft ni kikubwa mno.Weka Mita 5 Kwa 5 , unapata fresh air zingatia pia sebule iwe 6 Mita Kwa 6 sehemu ni mbili za kuenjoy maisha yako mm nikiwa mapumziko nashinda sebuleni asubuhi ad usiku nawatch movie napata fresh air with piece of mind ukikosea hapo nyumba inakuwa kama godown utaenjoy
Siyo masihara ndugu, ningetumia hata Ramani yake uione,,sema tu kazi ni ya miaka 8 nyuma ilipotelea kweny computer...[emoji23][emoji23]choo yake ndio ukubwa WA room yangu ya kulala[emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app