Chumba cha kulala kinatakiwa kiwe na ukubwa gani standard?

Chumba cha kulala kinatakiwa kiwe na ukubwa gani standard?

Mimi changu ni 8m x 6.5m kwa maana ya sqm 52
Duh! Una mini lounge chumbani kwako nini? Chumba chako kinalingana na ukubwa wa lounge plus open kitchen area ya nyumba yangu, niweka upana wa futi 21 (6.3m) kwa urefu wa futi 28 (8.4m).

Vyumba viwili vya kulala vyote kwangu vinafanana ukubwa wa futi 14 (4.2m) kwa futi 14 (4.2m) plus walk-in closets futi 6 kwa 6, Choo upana wa futi 7 (2.1m) kwa urefu futi 10 (3m).
 
Choo mita tano...aisee wafu mna mihela ya kuchezea
Kaka choo ni ndefu lakini siyo pana, yani inanikosesha raha kila nikiicheki. Sema nashukuru Mungu kwa ilipofika na ukizingatia ni nyumba ya kwanza.
 
Duh! Una mini lounge chumbani kwako nini? Chumba chako kinalingana na ukubwa wa lounge plus open kitchen area ya nyumba yangu, niweka upana wa futi 21 (6.3m) kwa urefu wa futi 28 (8.4m).

Vyumba viwili vya kulala vyote kwangu vinafanana ukubwa wa futi 14 (4.2m) kwa futi 14 (4.2m) plus walk-in closets futi 6 kwa 6, Choo upana wa futi 7 (2.1m) kwa urefu futi 10 (3m).
Brother hakuna kitu sipend kama kujibana bana. Mimi nyumban ndio mahala pangu pa starehe, siend club siend bar. Ni ofisin kanisani nyumban hizo ndio route zangu. Nyumban ndio mahala napata aman sana nikiwepo so sikupenda kupajenga kwa kujibana. Hapo sijakuwekea dimensions za Sitting room..
Kuna time wife alipata changamoto ya kiafya staff wenzake wakaja kumuona, wale nao sijui walifanya kusudi, walikua convoy ya watu 17 at once, halaf walivyo wanafik walipofika wakajifanya aahhh sis tutaishia hapa hapa nje tu tukae kwenye nyasi hatuingii ndani. Kichwan nikajua wana maana gan ,kwamba my home home isingeweza kuwa accomodate all of them at once, nikawa convince wakaingia, comfortably accomodated each one of them!! Wakaenda kuongelea mbele ya safar hukooo 😂.

So mkuu, mimi nyumban ni mahala pangu patakatifu sana sina pengine pa kujiliwaza.

Nb

  • sipendi uchafu nyumban
  • sipend mipangilio mibovu nyumban.
  • llimchukua muda sana wife kunipata na kuendana na mimi kwenye hiz ishu 2 hapo juu
 
Brother hakuna kitu sipend kama kujibana bana. Mimi nyumban ndio mahala pangu pa starehe, siend club siend bar. Ni ofisin kanisani nyumban hizo ndio route zangu. Nyumban ndio mahala napata aman sana nikiwepo so sikupenda kupajenga kwa kujibana. Hapo sijakuwekea dimensions za Sitting room..
Kuna time wife alipata changamoto ya kiafya staff wenzake wakaja kumuona, wale nao sijui walifanya kusudi, walikua convoy ya watu 17 at once, halaf walivyo wanafik walipofika wakajifanya aahhh sis tutaishia hapa hapa nje tu tukae kwenye nyasi hatuingii ndani. Kichwan nikajua wana maana gan ,kwamba my home home isingeweza kuwa accomodate all of them at once, nikawa convince wakaingia, comfortably accomodated each one of them!! Wakaenda kuongelea mbele ya safar hukooo 😂.

So mkuu, mimi nyumban ni mahala pangu patakatifu sana sina pengine pa kujiliwaza.

Nb

  • sipendi uchafu nyumban
  • sipend mipangilio mibovu nyumban.
  • llimchukua muda sana wife kunipata na kuendana na mimi kwenye hiz ishu 2 hapo juu
Unafanana na mshua mmoja rafiki yangu sana. Nyumba yake master bedroom ni sawa sawa na nyumba yangu nzima huko kuna kila kitu walk-in closet 12 ft by 12 ft bathroom 15 ft by 15 ft with double vanities, walk-in shower & toilet thrones plus single huge Jacuzzi.

Binafsi nyumba yangu kwa standard za kawaida ina ukubwa ambao watu wengi wangeweka vyumba vinne vya kulala ila mimi niweka viwili tu na kuifanya kuwa very spacious. Ukiingia ndani ndio unagundua sehemu kubwa ni vyumba na walk-in closets pamoja na open space ya kitchen plus lounge kila kitu kipo hapo hapo.
 
Upo sahihi sana, lkn mtu mwenye chumba kidogo yupo kwenye hasara tofauti na mwenye chumba kikubwa.

Sasa hivi utasema unajenga kidogo kwa sababu ya mahitaji yako lkn kesho mahitaji yakiongezeka utatamani chumba kikubwa halafu ndo huna.
Au imagine nyumba unaipangisha au unataka kuiuza unaweza ukakosa mteja kwa sababu vyumba umevifanya vidogo sana.

Mwenye uhitaji wa chumba kidogo akipewa kikubwa hana shida lkn mwenye uhitaji wa chumba kikubwa ukimpa kidogo ni tatizo. Hivyo ni bora chumba kiwe kikubwa hata kama uhitaji wako kwa sasa ni wa chumba kidogo.
Mchawi bajeti. Zingine hapa ni porojo tu
 
Juzi niko nacheki mijengo ya mauritius nikaangaza macho kwenye kijumba changu hadi nikasema hivi inakuwaje yaan nyumba ya kuishi inafikia thamani ya euro 2.5 million
 
Back
Top Bottom