torvic
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 3,978
- 9,841
Habari!
Wadau ebu tujikumbushe miaka hiyo wakati NECTA inaitwa NECTA, wakati form four ilikuwa sio kitoto kutoboa, unaingia kwenye chumba cha mtihani pepa imesimama mpaka unaogopa.
Wewe unakumbuka nini kwenye pepa yako ya mwisho O - level?
Ilikuwa ngumu au ilikuwa nyepesi ?
Kuna somo lolote lilikupelekesha mpaka ukaisi unatoka na F
Kituko gani ulikiona kwenye chumba cha mitihani unakikumbuka hadi leo
Nawasilisha wadau!
Wadau ebu tujikumbushe miaka hiyo wakati NECTA inaitwa NECTA, wakati form four ilikuwa sio kitoto kutoboa, unaingia kwenye chumba cha mtihani pepa imesimama mpaka unaogopa.
Wewe unakumbuka nini kwenye pepa yako ya mwisho O - level?
Ilikuwa ngumu au ilikuwa nyepesi ?
Kuna somo lolote lilikupelekesha mpaka ukaisi unatoka na F
Kituko gani ulikiona kwenye chumba cha mitihani unakikumbuka hadi leo
Nawasilisha wadau!