Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,911
- 3,016
Tabia ya kuvuja kwa mitihani ya taifa
ilikuwa ni siku ya Chemistry,Jamaa amekunywa majibu yake kama nyimbo,hususan maswali ya kuchagua na kuoanisha
Kitimu timu kimekuja,baada ya jamaa kupewa mitihani wake,na kuruhusiwa kuanza,
Kufungua tu....Holaaa(Pepa imebadilishwa)
Jamaa alipiga ukelele wa hatari
Haaaaaaaaaaa......Sioooooooooo
Tulikufa mbavu kwa vicheko
Alilala mwanzo mwisho
ilikuwa ni siku ya Chemistry,Jamaa amekunywa majibu yake kama nyimbo,hususan maswali ya kuchagua na kuoanisha
Kitimu timu kimekuja,baada ya jamaa kupewa mitihani wake,na kuruhusiwa kuanza,
Kufungua tu....Holaaa(Pepa imebadilishwa)
Jamaa alipiga ukelele wa hatari
Haaaaaaaaaaa......Sioooooooooo
Tulikufa mbavu kwa vicheko
Alilala mwanzo mwisho