Chumba cha Umbea: Wasanii na Mihadarati

Umeweka vizuri sana hii kitu mkuu...
 
Wanawaaribu na nini, Mbona kama walikuwa na "Room" ya kujifunzaa kutokaa kwaoo...??

Josline anatiaa sana Huruma
Wanatumika, kama alivyokua anatumka marehemu Ngwea, Masogange na wengine...
 
JOSLINE-wanazimika na yangu perfume,niite basi mpenzi ,mshikaji mmoja hvii. kifupi wana sonona baada ya muziki kuyumba. hata QJ kuna info kuwa alidata then akaja kuokoka
QJ aliacha mapema sana akaokoka na kama alitumia madawa basi ni kidogo sana na hayakumuingia kiasi cha kuvuruga utu wake.
Aliwaacha akina Joseline na Makamua wakiwa wanatamba kwenye game.
 
Kumbe Jaymoe alishawai kumpangisha Irene Uwoya
 
Hawa jamaa (wakali kwanza) wote wamechoka juzi kuna Interview ya QJ EFM aliojiwa na Jarib salehe (kuvichaka) Anaonekana amechoka

Ukija kwa Makamua na Joseline ndo wanatia huruma
 
A very humble and successful musician, Mark Knopfler, once said that there is nothing good in fame.
 
Na wengine kipindi wako juu sana wanakuwa na ratiba ngumu sana ya shows kiasi cha kushindwa kupumzika vya kutosha, mwisho wa siku wanatumia madawa mfano cacaine ambayo inawafanya wanakuwa na mzuka wa kupiga show, mwisho wa siku yanawakamata na wanakuwa mateja. Rick James mfano mzuri.
 
QJ aliacha mapema sana akaokoka na kama alitumia madawa basi ni kidogo sana na hayakumuingia kiasi cha kuvuruga utu wake.
Aliwaacha akina Joseline na Makamua wakiwa wanatamba kwenye game.
Q Jay pia inasemwa alikuwa anapiga shows kwenye bar za uchochoroni na mikoani akiwa amelewa.
 
A very humble and successful musician, Mark Knopfler, once said that there is nothing good in fame.
Naamini, fame inaumiza hasa pale unaposhindwa kuishi maisha ambayo umeyazoea na kuyapenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…