Doppelganger
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,858
- 757
1. Ina madirisha mangapi (maana wengine tuna pua ndogo, dirisha moja halitoshi).Habari wadau!
kuna Chumba master 100,000/= kinapangishwa Ubungo Riverside
Malipo miezi minne (4)
#Nyumba INA fence
#Maji 24/7
#Usalama wa uhakika.
#wapangaji wawili
#Luku yako
Call/SMS :0620533957View attachment 1441342View attachment 1441342View attachment 1441341View attachment 1441342View attachment 1441343View attachment 1441344View attachment 1441345
Duu, yaani hako kachumba kamoja na kijichoo kwa laki moja.Chumba kimoja na choo cha ndani
We jamaa si una masters ya Atomic Engineering... umeamua kua dalali?Hacheni wivu wengine unakuta mnalala kwa shemeji,harafu unakoment uwaki mijengo ya watu hii NYUMBA Sinza ,Mikocheni 200k na watu wanaishi nayo.
Wa Mbagala ,Kibaha,nje nje ya mji ndio wanashangaa wanaona laki kubwa
Madalali wa dar washenzi sana, mali unakuta ni yako lakini dalali anakupangia masharti jinsi ya kuiuza.Basi mwenye nyumba anakuwa sio muungwana na anaondoa uaminifu
πππππ Ndio maana serikali inataka kuwaregulate hawa madalali sababu ya uhuni wao kama huuilo la nondo na nyavu ni 40 kabisa sio ata 60 maana fence anayo dai inaizunguka nyumba iyo sio kabisa ni ya nyumba nyingine
Hakuna nyumba ya laki hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Laki imekosa heshima kabisa.
Muongomuongo huyo..We jamaa si una masters ya Atomic Engineering... umeamua kua dalali?
Sent From Galaxy S20 Ultra
Niwe na nyumba dsm nitafute dalali?Madalali wa dar washenzi sana, mali unakuta ni yako lakini dalali anakupangia masharti jinsi ya kuiuza.