House4Rent Chumba master 100,000/= kinapangishwa Ubungo Riverside

House4Rent Chumba master 100,000/= kinapangishwa Ubungo Riverside

Habari wadau!
kuna Chumba master 100,000/= kinapangishwa Ubungo Riverside
Malipo miezi minne (4)
#Nyumba INA fence
#Maji 24/7
#Usalama wa uhakika.
#wapangaji wawili
#Luku yako
Call/SMS :0620533957View attachment 1441342View attachment 1441342View attachment 1441341View attachment 1441342View attachment 1441343View attachment 1441344View attachment 1441345
1. Ina madirisha mangapi (maana wengine tuna pua ndogo, dirisha moja halitoshi).

2. Mpangaji mwingine ni wa kike au kiume?([emoji38]).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba kama haina madirisha ya Aluminium siwezi kukaa.

Sent From Galaxy S20 Ultra
 
ilo la nondo na nyavu ni 40 kabisa sio ata 60 maana fence anayo dai inaizunguka nyumba iyo sio kabisa ni ya nyumba nyingine
😂😂😂😂😂 Ndio maana serikali inataka kuwaregulate hawa madalali sababu ya uhuni wao kama huu
 
Madalali wa dar washenzi sana, mali unakuta ni yako lakini dalali anakupangia masharti jinsi ya kuiuza.
Niwe na nyumba dsm nitafute dalali?

Hivi umuhimu wa dalali huwa nini kwenye nyumba za kupanga?
 
Back
Top Bottom