House4Rent Chumba master kinapangishwa Kimara Baruti

House4Rent Chumba master kinapangishwa Kimara Baruti

Vipo mkuu maeneo ya jangwani pale, maeneo ya kigogo au kule yombo, pia hata mitaa mingine ila hali yake wanaijua wenyewe wa kitaa
Hicho sijui kama kuna usalama kwa kweli, yaani bora wanao lala ambazo hazijamalizika...
 
DUU HIKI CHUMBA HATA KAMA NI BURE NIKIPEWA MIE SITAKI.KIMEKAA KUSHOTO KAMA MWANAMKE ALIEVUNJIWA BIKIRA AISEE NI BALAA MZEE BABA
 
Aibu ya nini sasa hapo! Mwanaume haoni aibu kutafuta pesa labda kama una haiba za kike, yani kupiga rangi hapo ndio unasema aibu? na rangi yenyewe imeshapigwa

After all nimesema atakae vutiwa anichek, kama hujavutiwa pita kushoto... umbea wa inster huku haupo.. Hapa kazi tu


POVU LA NINI WAKATI hata kuweka mazingira ya kuvutia hamna.. nyumba kuna kichaka kama nyumba ya nyoka fanya usafi pavutie ndipo utume
 
DUU HIKI CHUMBA HATA KAMA NI BURE NIKIPEWA MIE SITAKI.KIMEKAA KUSHOTO KAMA MWANAMKE ALIEVUNJIWA BIKIRA AISEE NI BALAA MZEE BABA
Nani wa kukupa nyumba bure, hapo hamujaelewa kipo kwenye ukarabati wa mwisho hivyo yeye dalali amepiga picha ili akitafutie wateja mapema.
 
Aliyekuwa humo awali alikuwa kada wa Ccm.
54039ae7c3a998ada59af1d31ba3147c.jpg
Itakuwa ni jingalao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
DUU HIKI CHUMBA HATA KAMA NI BURE NIKIPEWA MIE SITAKI.KIMEKAA KUSHOTO KAMA MWANAMKE ALIEVUNJIWA BIKIRA AISEE NI BALAA MZEE BABA

MKUU WEWE NI KE AU ME? MANA ULEVYOANDIKA HATA KE HAWEZI ANDIKA KIUMBEA HIVYO! KWANI NANI ALIKUAMBIA CHA BURE KIKO,

PIA HUJASOMA HUZI? ACHA UMBEA FANYA KAZI, UZI UNESEMA KIKIKUVUTIA NICHEKI; KAMA HAKIJAKUVUTIA PITA KULE, UNADHANI UKIANDIKA HIVYO KUNA ATAKAE KUSHOBOKEA.. UZI UKO CLEAR HAKIJAKUVUTIA UNASHOBOKA, JINGA KABISA
 
POVU LA NINI WAKATI hata kuweka mazingira ya kuvutia hamna.. nyumba kuna kichaka kama nyumba ya nyoka fanya usafi pavutie ndipo utume

Mkuu anaelelamika hiki chumba hakijui! ila kwa master za baruti ni vizuri, kama hawajafyeka mm hapo hayanihusu, ila mazingira ni mazuri,

Nayajua na nimeshawahi kuishi, mtu hatakaelalamika sana jua kutoa 100k kwake ni mtihani.
 
Mkuu anaelelamika hiki chumba hakijui! ila kwa master za baruti ni vizuri, kama hawajafyeka mm hapo hayanihusu, ila mazingira ni mazuri,

Nayajua na nimeshawahi kuishi, mtu hatakaelalamika sana jua kutoa 100k kwake ni mtihani.


Kiuhalisia siwezi kubishana na wwewe inategemea wewe unaishi nyumba ya aina gani. Hiyo nyumba ni chafu mazingira machafu, madirisha hayana hewa y akutosha wewe amini kwamba ni pachafu
 
Kiuhalisia siwezi kubishana na wwewe inategemea wewe unaishi nyumba ya aina gani. Hiyo nyumba ni chafu mazingira machafu, madirisha hayana hewa y akutosha wewe amini kwamba ni pachafu

Mkuu kwahiyo hapo ulitaka mm dalali nikawasafishie mazingira ndio nitangaze? Kama ni ishu ya usafi ni wao wenyewe, na hapo najua kama ni usafi unafanyika na nipazuri,na swala la hewa hiyo master ina madirisha mawili na sina wasiwasi na hewa..
Na kuhusiana na mm naishi nyumba ya aina gani mkuu ni kweli huwezi kubishana na mm coz kama unalalamika chumba cha laki ya kwangu ninayoishi kweli utaweza lipia? kama hicho cha laki niliishi miaka miwili iliyopita ambacho wewe ndio unalia lia leo basi kulipia ninayoishi kwa sasa wewe bado..
 
Kiuhalisia siwezi kubishana na wwewe inategemea wewe unaishi nyumba ya aina gani. Hiyo nyumba ni chafu mazingira machafu, madirisha hayana hewa y akutosha wewe amini kwamba ni pachafu
Yani hapo mzee baba hapana tofauti na mtu aneishi chooni ama kwenye banda la nguruwe.shubaaamiti.
 
Yani hapo mzee baba hapana tofauti na mtu aneishi chooni ama kwenye banda la nguruwe.shubaaamiti.

Endelea kulia lia mkuu, soon biashara itafanyika, mteja aluekiona jana anakuja yupo njiani kumaliza, soon deal done.. wewe endelea na umbea.
 
Yani hapo mzee baba hapana tofauti na mtu aneishi chooni ama kwenye banda la nguruwe.shubaaamiti.
Na labda nikuambia ukweli, watu ambao budget yao haikufikia hiyo ndio nyie mnaolalamika, sema tu utafutiwe cha bei yako mkuu usione noma.

Pia nikuambiwe JF hakuna wateja, wengi ni wajuaji, yani ni wachache mno, yani kama ni wateja ni asilimia 0.01! wateja wengi wapo mtaani na huko inster pia,
Pia wengi wapo kwenye magroup yetu ya kazi
Angalia picha ujue watu wanafanya kazi sio kukalia majungu.
Hapo utakuta whatsapp yako imejaa magroup ya chumbani, umbea na majungu
Screenshot_20190130-174437_WhatsAppBusiness.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa kazi tu..


Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe dalali Tunzo uache ubishi wa kipompoma, ndio maana hata mie nakuchanaga hadharani.
Mazingira ya hiko chumba hata kwa picha tu hayavutii japo unasingizia eti ukarabati ulikua bado, kwahiyo mboba huweki picha baada ya huo ukarabati (shubaiti wewe!!)

Choo hakivutii kinatia kinyaa, mazingira ya nje ndio kabisaaa... Vichaka kama misitu ya Amazon.
Dalali gani unakua libishi hivi!!
 
Wewe dalali Tunzo uache ubishi wa kipompoma, ndio maana hata mie nakuchanaga hadharani.
Mazingira ya hiko chumba hata kwa picha tu hayavutii japo unasingizia eti ukarabati ulikua bado, kwahiyo mboba huweki picha baada ya huo ukarabati (shubaiti wewe!!)

Choo hakivutii kinatia kinyaa, mazingira ya nje ndio kabisaaa... Vichaka kama misitu ya Amazon.
Dalali gani unakua libishi hivi!!

Aaah Mama umekuja? labda nikuambie.. kibiashara huwezi ridhisha kila mtu, ndio mana nikasena ukiridhika nichek, kama mtu hajaridhika si unapita kushoto,
Na kwenye huu biashara wateja wanatofautiana sana, kila mtu anaridhika na yeye mwenyewe alivyo, mfano huyo aliyeona jana naye yupo njiani anakuja kulipa,

Swali rahisi, mteja atakaekuambia naomba unitafutie master ya Laki mbili je ni sawa na yule anaekuja anakuambia nitafutie master ya 70K
Mteja aliekuambia umtafutie master ya 200k huyo kuna aina ya nyumba anayoitafuta, ukimwambia kuna master ya Laki atakuuliza mara mili mbili je ni nzuri, je ina hadhi yake?
 
Mama Debora mfano (angalia picha) mteja anatafuta chumba na sebule na jiko budget yake ni 300,000 je ukimwambia kuna chumba na sebule ya laki moja si lazima akuulize mara mbili mbili kua je ni nzuri? lazima ataiwekea mashaka kwasababu anajua hadhi ya nyumba anayoitafuta

Mteja wa chumba na sebule kwa 300k ni tofaut kabisa na mteja wachumba na sebule kwa 100k, kwa hiyo acha tuwatangazie wote, kuna ameona hicho chumba ni bonge la chumba, hapa nasubiria changutu, wengine wamebakia majungu..
20190130_180559.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom