House4Rent Chumba master kinapangishwa Kimara Baruti

House4Rent Chumba master kinapangishwa Kimara Baruti

CHUMBA KIMESHALIPIWA,
Asanteni kwa ushirikiano wenu, hata wale ambao hawakua na nia ya kuchukua chumba ila walichangia na kufanya uzi kuendelea kua juu!
 
Aaah Mama umekuja? labda nikuambie.. kibiashara huwezi ridhisha kila mtu, ndio mana nikasena ukiridhika nichek, kama mtu hajaridhika si unapita kushoto,
Na kwenye huu biashara wateja wanatofautiana sana, kila mtu anaridhika na yeye mwenyewe alivyo, mfano huyo aliyeona jana naye yupo njiani anakuja kulipa,

Swali rahisi, mteja atakaekuambia naomba unitafutie master ya Laki mbili je ni sawa na yule anaekuja anakuambia nitafutie master ya 70K
Mteja aliekuambia umtafutie master ya 200k huyo kuna aina ya nyumba anayoitafuta, ukimwambia kuna master ya Laki atakuuliza mara mili mbili je ni nzuri, je ina hadhi yake?


Kwa maelezo yako nimeelewa ila usimlazimishe kila mtu kuona hiyo nyumba ni nzuri, kwanza inaelekea ilikuwa nyumba ya familia ikaguzwa ya biashara so kiuhalisia sio NZURI Kabisa
 
Kwa maelezo yako nimeelewa ila usimlazimishe kila mtu kuona hiyo nyumba ni nzuri, kwanza inaelekea ilikuwa nyumba ya familia ikaguzwa ya biashara so kiuhalisia sio NZURI Kabisa
Hayo ni mawazo yako, uliona wapi nyumba ya familia imekaa hivyo ina master zaidi ya 17? ni heri ungeacha kucomment
 
Back
Top Bottom