House4Rent Chumba master kinapangishwa Kimara Baruti

CHUMBA KIMESHALIPIWA,
Asanteni kwa ushirikiano wenu, hata wale ambao hawakua na nia ya kuchukua chumba ila walichangia na kufanya uzi kuendelea kua juu!
 


Kwa maelezo yako nimeelewa ila usimlazimishe kila mtu kuona hiyo nyumba ni nzuri, kwanza inaelekea ilikuwa nyumba ya familia ikaguzwa ya biashara so kiuhalisia sio NZURI Kabisa
 
Kwa maelezo yako nimeelewa ila usimlazimishe kila mtu kuona hiyo nyumba ni nzuri, kwanza inaelekea ilikuwa nyumba ya familia ikaguzwa ya biashara so kiuhalisia sio NZURI Kabisa
Hayo ni mawazo yako, uliona wapi nyumba ya familia imekaa hivyo ina master zaidi ya 17? ni heri ungeacha kucomment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…