The last don
JF-Expert Member
- Aug 3, 2011
- 1,053
- 1,232
- Thread starter
- #21
Hiyo ni distance ya google ambayo inafata barabara kuu...hivyo ukipita short cut distance ni pungufu ya hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwa gari inaonyesha 3 mints kwa miguu ni 13 mints
Asante mkuu,Mwenye nyumba unakuta kajenga nyumba yake hivyo ilivyo kabla hatujazaliwa,maisha lazima yaendelee mkuu hivyo hivyo yalivyo.Muwe mnawaelimisha wamiliki wa nyumba siku hizi mambo ya kushare vyoo watu hawataki
Kuna kubadilika kutokana na nyakati tulizopo.. shared toilet lazima kupangiana zamu ya kusafisha. Ulikuwa ni ushauri wa kuwapa wenye nyumba kupandisha thamani nyumba zaoAsante mkuu,Mwenye nyumba unakuta kajenga nyumba yake hivyo ilivyo kabla hatujazaliwa,maisha lazima yaendelee mkuu hivyo hivyo yalivyo.
But hii shared toilet ya hii nyumba ni safi na yenye nafasi ya kutosha waliofika kuona wamethibitisha hilo
Asante mkuu,ushauri umechukuliwaKuna kubadilika kutokana na nyakati tulizopo.. shared toilet lazima kupangiana zamu ya kusafisha. Ulikuwa ni ushauri wa kuwapa wenye nyumba
Mnamjengea kabisa ili akitoka hapo anahamia kwake?Chumba bado kipo mabosi...Kariibu uishii kwenye neighbourhood ambayo ukihama basi unahamia kwako
Neighbourhood tulivu kabisa na Amani tele
kuna dirisha ya nondo yenye wavu wa mbu,kisha ndio inafata hiyo ya kioo kwenye frem ya mbaoHizo dirisha ni za funga-fungua ama?
Hakuna Aluminiun dirisha?kuna dirisha ya nondo yenye wavu wa mbu,kisha ndio inafata hiyo ya kioo kwenye frem ya mbao
Hakuna boss,dirisha la kioo ila frem yake sio Aluminium ni mbaoHakuna Aluminiun dirisha?
Ni vizuri watu wakaelewa hii. Katika kutoa maelezo ya biashara mtu anatakiwa kuwa makini ili maelezo yajitosheleze bila kuonyesha ujanjaujanjaNarudia Tena,
Mwendo (umbali) haupimwi Kwa dakika/saa. Hivi ni vipimo vya muda. Walioweka hivi vipimo walikua na maana nzuri tu.
Unafikiri kila mtu anatembea speed sawa? Kuna mwenye anatembea fasta na kuna mwenye anatembea pole pole.
Vile vile kuna mwenye hatua kubwa na kuna mwenye hatua ndogo pia. Cha msingi ukipima ni meter au kilometers ngapi hapo hazitabadilika regardless anaetembea ni nani na anatembeaje.
SawaHakuna boss,dirisha la kioo ila frem yake sio Aluminium ni mbao
Je hii nyumba ni ya udongo? Tutajuwaje kama ni ya tofali, kwanini usiweke picha ya nyumba nzima ili tuione?Chumba na sebule kubwa ya kisasa katika neighbourhood yenye amani inapangishwa kwa bei ya Tsh 150k kwa mwezi.
Mabibo makuburi nyuma tu na ilipo Samaria Hotel
Eneo lina usalama wa kutosha ndani ya geti
Mawasiliano kuja kutazama bure:
0621973591
Kodi ni malipo ya miezi sita
Hela ya udalali kama kawaida
picha kwa uchache
Nyumba ya tofari tajiriii shaka ondoa kwenye hilo,Nilituma picha ya chumba sababu kinachopangishwa ni hiko chumba sio nyumba yote..ila wewe kama mteja ukipenda nikutumie picha za nyumba yote kama ilivyo naweza kukutumia bila shakaJe hii nyumba ni ya udongo? Tutajuwaje kama ni ya tofali, kwanini usiweke picha ya nyumba nzima ili tuione?
Wasiwasi ndio akili😄Ukishaona mtu anapima umbali kwa kutumia kipimo cha muda badala ya kipimo Cha urefu bas jua kuna ka usanii hapo.
ila wasi wasi ukizidi sana yanakuwa maradhi boss...dnt forget that..😀Wasiwasi ndio akili😄