Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
BothMmmh uzuri kwa sura au shape
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BothMmmh uzuri kwa sura au shape
Jamaa ana akili sanaKwahyo hata rafiki yako hawajaoana mpaka sasa??[emoji23] 40+ bado anakula bata tu??
Huyo jamaa alizaa na rafiki ako?Rafiki yangu aliolewa na mtu mwingine
HahahaNajua.hope asiwe ndo mla bata [emoji23][emoji23][emoji23] maana nae amekaa kula kula sana kimasikhara.
Funguka mzee babaYangu mimi hayasimuliki. Ila naamini Mungu alishanisamehe.
AseeNimekumbuka nishawahi kula ndugu wa tumbo moja, nikianza kumtoa bikra dada then nikamaliza na bikra ya ndugu yake mwisho wa siku wakajua kuwa wote wanachezea dudu moja, ikawa wanawahiana kuja ghetto yaani ilikuwa vichekesho sana. Kwa sasa wote naendelea kula, mmoja tayari ameolewa Ila anatamani kutoka ndoani kwa vile tu eti mwenzake anafaidi sana dudu.
Hahaha hizo ndoa zenu zina shida sanaMi kuna mshkaji alinikopa 500k akaniambia mpelekee shemeji yako pale big bon sinza mi huyoo mpaka big bon shem kashuka kwenye bajaj aisee ile ni pisi balaa..nikampa ile hela sasa kuna jicho alinipiga saa tunaagana aisee yani alinikaribisha kabisa...
baada ya wiki nikamtext shem niaje ? njoo tule bia hapa heineken house sinza basi aisee huezi amini shem akaja na gari yake hapo jamaa kasafiri kala wine baadae si akaonja magic moment yangu..kumbe alikua mnywaji balaa ah nikaanza kumnawa pale...anasema we huogopi mi shem wako..! check oil kistyle yuko byee aisee nikaruka upande wa pili pale karibu na boardroom tafuna sana shem saaana akanielewa
ikawa ndo kamchezo jamaa alivyotangaza ndoa nikamkataa kabisa mpaka anaolewa analalamika tu na harusini nikaenda...
ila nikamtupa kabisa alilia mno nikamwambia noo we sa hv umeapa kanisani big nooo!
namkwepaga sana!
Be calm To yeye aseeeAfu time nyingine marafiki ni mikosi tu, mi kuna rafiki yangu kipenz alisababisha niachane na mpenz wangu wa kwanza baada ya kugundua anatembea nae,baadae nikamsamehe rafiki yangu maisha yakaendelea lakin baadae kuna mume wa mtu nilikuwa napunguzia machungu lakini tena nikagundua ana mchepuko mwingine ambaye ni rafiki yangu yuleyule niliyemsamehe.Kiukweli sijawahi taka kumwona tena huyu shost
HahahaFaza hausi alinimaindi sababu nlimfukuzia wapangaji wake kisa nliwachanganya wote walikua ni marafiki sana lakini baada ya kuhama kila mtu kaenda kukaa kivyake na nmewaacha wote nasubiri wapangaji wapya
Hahaha hapo mlikuwa mnashare malaya tu hamna lolotemshkaji wangu wa kazini-dereva wetu yani natype yuko pembeni hapa busy na simu hanaga mpango na jamiiforum😜.....alikuwa na demu mmoja ivi ana bonge la trako, uyo demu ni polisi mkoa wetu hapa ndoa yake imevunjika juz tuu hapa ,akaja kunitambia weeeeee afu eti anajisifu kuwa hana mpango nae kisa dem mkubwa kiumri kampita( anaogopaga waliompita umri). Me nkadaka namba yake uyo demu alinipa mwenyewe hajachukua raundi, siku mbili tuu alivyofika tuu om nkafumua 😅😅😅 , raund nne dah bila zana wala kinga hatari sana mwanangu!!!.......................Mwana alimpima , me na mwana tuna vile vipimo vingi self test kama mahabara vile, tukazuga baada ya show kwenda kupiga self test ili aniamini afu ndo nkamrudisha kwake mpaka leo ni mabest ila ametuacha wote kaona wachezeaji. Tunapiga tu story na kusaidiana tuu
Mwamba hajui mpaka leo , Shida ya mwamba anapendaga kupewa tuu madem yeye hapendi kutoa connection nshamuweka kwa watoto wakali sana nliowashindwa ila hanaga shukrani....SEMA NA ME SNITCH KWELI😁😁
uko sahihi 100%Usishangae sana sii kwa ubaya huyo huyo best friend wako wa damu damu, ambae muda mwingi unapoteza nae, huyo huyo ambae shida zako nyingi anakusaidia kutatua kwa moyo wake wote.
Huyo huyo ambae ukibahatika kupata pisi kali au danga unakuwa wa kwanza kumpelekea umbea .Huyo huyo ambae ambae mkienda kula bata mnakaa meza moja unaondoka unaenda toilet unamuacha akulindie mzigo.
Moyo wa mtu unasiri asee hivi ulishawahi fikiria ile moment umeenda kumtambulisha mpenzi wako kwa rafiki yako that time wanasalimiana kwa kushikana mikono kwa mara ya kwanza huwa unahisi nini kinatokea kichwani mwao.??
Ebu tuwe wakweli hujawahi kwenda tambulishwa kwa mpenzi wa rafiki yako, ukajikuta umekufa umeoza kwa huyo shemeji yako...?? Ukiona rafiki yako kipenzi anakuuliza uliza hivi unampango gani na huyo jamaa/demu wako shituka mapema pengine anataka kupima kina cha maji.
Na kama ikitokea wamependana asee hakuna mchezo unaochezwa kwa siri kubwa kama huo ili kulinda urafikina fedhea ,yaani hata FBI na interpol wakija kupeleleza hawawezi pata ushahidi ,zaidi hata ya kuiba mkee wa mtu ,yaani error kutokea ni 0.0001perc
Ukiona wa dada ni marafiki saana wa muda mrefu ujue kunapossibility kubwa wameshagongwa na jamaa mmoja kwa nyakati tofauti na mmoja wao alimuiba kwa siri mpenzi wa rafiki yake. Hivyo hivyo kwa boys marafiki wawili kuchezea tundu moja sio jambo la kushangaza na hapo mmoja wao ni anamuibia mwezie.
Ushauri kama una mpenzi wako una ndoto za kufika nae mbali ukiwa unapiga story zake kwa marafiki zako usimu underrate ukasemaa aah yule napiga tu siku ziendee, au yule namchuna zikiisha nasepa aloo itakuja kula kwako utapigwa tukio huto amini.
Najua kuna wengi hawato amini sababu ya usiri mkubwa wa hilo jambo ila amini kwamba ndugu.