eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Kwaiyo tukitembea tufute nyayo?
Itabidi nitafute mfagio wa kufutia nyayo zangu
😛 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo tukitembea tufute nyayo?
Hao wachawi wakikuharibia wao hupata faida gani in returning.?
Asee mkuu mgumu kuelewa eeeh 😅😅🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️Hujasaidia sasa umakini upi wakati lazima nitembee?
Tupe ushuhuda mkuu kilitokea nn 😂😂 mana Kuna watu wanaudharau huu Uzi wanajua chai SI unajua majobles Tena Kila kitu kupinga😂😂😂Kuwa na salon moja permanent nako ni hatariiiii. Watu wa kwenye ma salon ndio ma agent wa kukusanya nywele na kucha. Mi ilinitokea ila nilishtuka na kulianzisha wakatajana mpaka aliewatuma😡😡
Nauza mifagio ya kufutia nyayo zako ukiwa unatembea kwa bei nafuu . Mikoani tunatumanawaza ukinyanyua mguu unageuka unafuta hakika utafika unapokwenda ukiwa hoi
Umetembea na gep Sio😅Nauza mifagio ya kufutia nyayo zako ukiwa unatembea kwa bei nafuu . Mikoani tunatuma
Kuwa na salon moja permanent nako ni hatariiiii. Watu wa kwenye ma salon ndio ma agent wa kukusanya nywele na kucha. Mi ilinitokea ila nilishtuka na kulianzisha wakatajana mpaka aliewatuma😡😡
Nikiwa na viatu au bila viatuHujasaidia sasa umakini upi wakati lazima nitembee?
Nikiwa na viatu au bila viatu
Dawa ni kuvaa vya mtumba ili kuchanganya maadui 😅Hiyo ni kwa wote itakuwa,viatu havisaidii kitu 🤣
Watajua kama ni mchina Lee 😜Kumbe ni mimiHiyo ni kwa wote itakuwa,viatu havisaidii kitu 🤣
Dawa ni kuvaa vya mtumba ili kuchanganya maadui 😅
Ubaya ubwela wanakupiga na viatu vyako🤣🤣Nikiwa na viatu au bila viatu
Na picha wanarogaje sasa wakati zina editiwa 😅😅😅Hahahahah umewaza mbali sanaaa
Ntavaa vya kihindi sasa 😅😅😅Ubaya ubwela wanakupiga na viatu vyako🤣🤣
Ni kweli kabisakama hufanyi zinaa mtu hata akuroge vipi nikazi bure tu.
lakini ukiwa mzinifu asilimia yakufanyiwa vibaya ni %99.999999999999999999