Chunga vitu vyako ukiacha ovyo vinaweza kukugarimu na kukuhalibia maisha yako

Chunga vitu vyako ukiacha ovyo vinaweza kukugarimu na kukuhalibia maisha yako

Kwaiyo tukitembea tufute nyayo?
1737822228377.jpeg
 
Tupe ushuhuda mkuu kilitokea nn 😂😂 mana Kuna watu wanaudharau huu Uzi wanajua chai SI unajua majobles Tena Kila kitu kupinga😂😂😂

Achana na mambo haya. Utaishi kwa shida sana. Hata wachawi wanahofu sana. Maana wanaogopa wakibainika ni shidaa
 
nywele zako,mchanga wa unyayo wako,kucha,Jina lako,manii,mkojo ,picha yako au kipande cha nguo yako, kinaweza kuchukuliwa na adui ili kukutawala, au kulipiza kisasi kwako kwa kuharibu furaha yako katika mambo ya mapenzi na pesa.View attachment 3213739
duu hii sasa balaa kwani mchawi ni kiumbe gani? Kwani mimi nikiona au kusikia unapata shinda za kimaisha au changamoto nyingi mfano maradhi,mambo yako hayafanikiwi nikafurahi wewe kuwa hvo hapo ntakuwa mchawi? Haya mambo yanachanganya sana.
 
duu hii sasa balaa kwani mchawi ni kiumbe gani? Kwani mimi nikiona au kusikia unapata shinda za kimaisha au changamoto nyingi mfano maradhi,mambo yako hayafanikiwi nikafurahi wewe kuwa hvo hapo ntakuwa mchawi? Haya mambo yanachanganya sana.
Wewe unakua mchawi kasoro vitendea kazi😂
 
nywele zako,mchanga wa unyayo wako,kucha,Jina lako,manii,mkojo ,picha yako au kipande cha nguo yako, kinaweza kuchukuliwa na adui ili kukutawala, au kulipiza kisasi kwako kwa kuharibu furaha yako katika mambo ya mapenzi na pesa.View attachment 3213739
Njoo mimi nikupe unywele, nguo, manii, mchanga wa unyayo na chochote utakachohitaji, halafu ufanye unachoweza tuone kama utaniharibia chochote.

Hili ni jaribio rahisi sana.

Labda univizie uniwekee sumu ama ukodi wahuni wanipige, otherwise hakuna unachoweza kufanya.

Ingekuwa uchawi unafanya kazi, waislamu wangekuwa wameshayaroga mayahudi yote yakafa.
 
TAFUTA HELA!!! TAFUTA HELA !!!


📌HAKUNA UCHAWI,ACHENI UONGO!
 
nywele zako,mchanga wa unyayo wako,kucha,Jina lako,manii,mkojo ,picha yako au kipande cha nguo yako, kinaweza kuchukuliwa na adui ili kukutawala, au kulipiza kisasi kwako kwa kuharibu furaha yako katika mambo ya mapenzi na pesa.View attachment 3213739
Kikubwa ni kuomwomba Mungu Kwa Imani na kila wakati na kila kitu tunatakiwa kukitakasa Kwa damu ya Yesu..,.Kwa kusema TU Mungu atatuokoa
 
Back
Top Bottom