B M F ICONIC
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 824
- 1,631
Kaangalie vizuri video y nyimbo y aslay - chuki ikiwa inaanzaNa picha wanarogaje sasa wakati zina editiwa 😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaangalie vizuri video y nyimbo y aslay - chuki ikiwa inaanzaNa picha wanarogaje sasa wakati zina editiwa 😅😅😅
Kwaiyo tukitembea tufute nyayo?
Vaeni yeboyebo zinasaidia sana kuzuia mashambuliziHiyo ni kwa wote itakuwa,viatu havisaidii kitu 🤣
Hatari ipi ipo endapo utakua unamiliki chupi zao...Thupi
Aje sasa labda mimi ndiyo nazimiliki...Ubaya ubwela wanakupiga nazo tu 😅😅😅
Tupe ushuhuda mkuu kilitokea nn 😂😂 mana Kuna watu wanaudharau huu Uzi wanajua chai SI unajua majobles Tena Kila kitu kupinga😂😂😂
duu hii sasa balaa kwani mchawi ni kiumbe gani? Kwani mimi nikiona au kusikia unapata shinda za kimaisha au changamoto nyingi mfano maradhi,mambo yako hayafanikiwi nikafurahi wewe kuwa hvo hapo ntakuwa mchawi? Haya mambo yanachanganya sana.nywele zako,mchanga wa unyayo wako,kucha,Jina lako,manii,mkojo ,picha yako au kipande cha nguo yako, kinaweza kuchukuliwa na adui ili kukutawala, au kulipiza kisasi kwako kwa kuharibu furaha yako katika mambo ya mapenzi na pesa.View attachment 3213739
Vaeni yeboyebo zinasaidia sana kuzuia mashambulizi
niambie itakua unafanya vipi kazi? isje kua kuinama na kufuta ni bora zaidi kuliko kuzifuta na ufagioNauza mifagio ya kufutia nyayo zako ukiwa unatembea kwa bei nafuu . Mikoani tunatuma
😀
Wewe unakua mchawi kasoro vitendea kazi😂duu hii sasa balaa kwani mchawi ni kiumbe gani? Kwani mimi nikiona au kusikia unapata shinda za kimaisha au changamoto nyingi mfano maradhi,mambo yako hayafanikiwi nikafurahi wewe kuwa hvo hapo ntakuwa mchawi? Haya mambo yanachanganya sana.
Njoo mimi nikupe unywele, nguo, manii, mchanga wa unyayo na chochote utakachohitaji, halafu ufanye unachoweza tuone kama utaniharibia chochote.nywele zako,mchanga wa unyayo wako,kucha,Jina lako,manii,mkojo ,picha yako au kipande cha nguo yako, kinaweza kuchukuliwa na adui ili kukutawala, au kulipiza kisasi kwako kwa kuharibu furaha yako katika mambo ya mapenzi na pesa.View attachment 3213739
Wewe unakua mchawi kasoro vitendea kazi
wewe shoga kazi unayoNi kweli kabisa
Kikubwa ni kuomwomba Mungu Kwa Imani na kila wakati na kila kitu tunatakiwa kukitakasa Kwa damu ya Yesu..,.Kwa kusema TU Mungu atatuokoanywele zako,mchanga wa unyayo wako,kucha,Jina lako,manii,mkojo ,picha yako au kipande cha nguo yako, kinaweza kuchukuliwa na adui ili kukutawala, au kulipiza kisasi kwako kwa kuharibu furaha yako katika mambo ya mapenzi na pesa.View attachment 3213739