Kwaiyo tukitembea tufute nyayo?
Hao wachawi wakikuharibia wao hupata faida gani in returning.?
Asee mkuu mgumu kuelewa eeeh π π ππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈHujasaidia sasa umakini upi wakati lazima nitembee?
Tupe ushuhuda mkuu kilitokea nn ππ mana Kuna watu wanaudharau huu Uzi wanajua chai SI unajua majobles Tena Kila kitu kupingaπππKuwa na salon moja permanent nako ni hatariiiii. Watu wa kwenye ma salon ndio ma agent wa kukusanya nywele na kucha. Mi ilinitokea ila nilishtuka na kulianzisha wakatajana mpaka aliewatumaπ‘π‘
Nauza mifagio ya kufutia nyayo zako ukiwa unatembea kwa bei nafuu . Mikoani tunatumanawaza ukinyanyua mguu unageuka unafuta hakika utafika unapokwenda ukiwa hoi
Umetembea na gep SioπNauza mifagio ya kufutia nyayo zako ukiwa unatembea kwa bei nafuu . Mikoani tunatuma
Kuwa na salon moja permanent nako ni hatariiiii. Watu wa kwenye ma salon ndio ma agent wa kukusanya nywele na kucha. Mi ilinitokea ila nilishtuka na kulianzisha wakatajana mpaka aliewatumaπ‘π‘
Nikiwa na viatu au bila viatuHujasaidia sasa umakini upi wakati lazima nitembee?
Nikiwa na viatu au bila viatu
Dawa ni kuvaa vya mtumba ili kuchanganya maadui πHiyo ni kwa wote itakuwa,viatu havisaidii kitu π€£
Watajua kama ni mchina Lee πKumbe ni mimiHiyo ni kwa wote itakuwa,viatu havisaidii kitu π€£
Dawa ni kuvaa vya mtumba ili kuchanganya maadui π
Ubaya ubwela wanakupiga na viatu vyakoπ€£π€£Nikiwa na viatu au bila viatu
Na picha wanarogaje sasa wakati zina editiwa π π πHahahahah umewaza mbali sanaaa
Ntavaa vya kihindi sasa π π πUbaya ubwela wanakupiga na viatu vyakoπ€£π€£
Ni kweli kabisakama hufanyi zinaa mtu hata akuroge vipi nikazi bure tu.
lakini ukiwa mzinifu asilimia yakufanyiwa vibaya ni %99.999999999999999999