trouble maker
Member
- Jan 24, 2017
- 62
- 58
- Thread starter
-
- #21
sasa ninge toa maada ya nini kama mimi siyo mmoja wao naeleza kitu ninacho kielewaOFF Point...nimekuuliza wewe bikra unayo? Kwanza ninyi vijana wa sasa mnapaswa kutambua kwamba pema usijapo pema, ukipema si pema tena. Kwa kukusaidia tu ni kwamba mahala popote huwa pazuri endapo hujawah kwenda, ukishaenda mara kwa mara uzuri wake huisha.
Kuelewa na kuwa nayo vi vitu viwili tofauti kwanza mdomoni kwenyewe unaonekana haipo maana si kwa kichambo hiki...kwanza kuwa bikra sio bahati ni ukosefu tu wa fursa!sasa ninge toa maada ya nini kama mimi siyo mmoja wao naeleza kitu ninacho kielewa
😡😡😡😡😡😡😡🙄😵😵😵 mungu anakuonaKuelewa na kuwa nayo vi vitu viwili tofauti kwanza mdomoni kwenyewe unaonekana haipo maana si kwa kichambo hiki...kwanza kuwa bikra sio bahati ni ukosefu tu wa fursa!
hapana katikati ya uchafu lazima kiwepo kisafi kimoja na lengo la uzi huu ni ku waasa mabinti wasije chezea utu wako kwa wbabaishaji na maani kunawanao jielewa na walio lelewa kwenye maadili na kujua nini maana ya bikra zao kwa mumeweKwamaana hiyo mkuu hakuna kijana atakayeoa maana hakuna bikra tena mitaani.
Kuna wengine zilitoka tu accidental na wengine kwa njia ya roho mtaka vitu so muhimu hapa ni kuangalia chimbuko ya utokaji! Si unakumbuka hata mama ya Masiha ilitoka kwa njia neno kutoka juu?Kwamaana hiyo mkuu hakuna kijana atakayeoa maana hakuna bikra tena mitaani.
Mkuu kuna ile unamuona binti flani mstaarabu amelelewa malezi mazuri na nini sasa ukisema huyu afadhali utakayo kutana nayo bora hata kwa wale micharuko wanaojulikana.hapana katikati ya uchafu lazima kiwepo kisafi kimoja na lengo la uzi huu ni ku waasa mabinti wasije chezea utu wako kwa wbabaishaji na maani kunawanao jielewa na walio lelewa kwenye maadili na kujua nini maana ya bikra zao kwa mumewe
msikilize mkuu hapa labda utapata kitu kidogoKuna wengine zilitoka tu accidental na wengine kwa njia ya roho mtaka vitu so muhimu hapa ni kuangalia chimbuko ya utokaji! Si unakumbuka hata mama ya Masiha ilitoka kwa njia neno kutoka juu?
Kwamaana hiyo mkuu hakuna kijana atakayeoa maana hakuna bikra tena mitaani.
Yasemwayo yapo, nilipata kusikia wenzetu wa upande wa pili wa muungano wa kimapinduzi binti zao wanalinda sana mlango mkuu ili wasiwaangushe mashangazi watapoolewa ila mlango wa banda la uani huo ruksa hata nguchiro kupita maana ndo mlango wa wageni!Mkuu kuna ile unamuona binti flani mstaarabu amelelewa malezi mazuri na nini sasa ukisema huyu afadhali utakayo kutana nayo bora hata kwa wale micharuko wanaojulikana.
Na nasikia bikra kongwe kuilainisha hadi ikubali kutoka ni sawa na kumchinja kumchemsha jogoo mstaafu ambaye ngozi yake ishakuwa sehemu ya mifupa!Zama zimebadilka sasa si km zamani
Mama zetu waliolewa bikra since waliolewa ktk umri mdogo tofauti na sasa mtu unachinia tu nyumbani kusubiri mme
Sent using Jamii Forums mobile app
Sindio uitunze bikra mpaka uolewe.Zama zimebadilka sasa si km zamani
Mama zetu waliolewa bikra since waliolewa ktk umri mdogo tofauti na sasa mtu unachinia tu nyumbani kusubiri mme
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulwa...
Bikra is overrated.[emoji3][emoji3]
Na nasikia bikra kongwe kuilainisha hadi ikubali kutoka ni sawa na kumchinja kumchemsha jogoo mstaafu ambaye ngozi yake ishakuwa sehemu ya mifupa!
Mkuu wewe unayo?