Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

Dawa usipake mafuta,na uwe unanawa na sabun kila baada ya kutembea juani au kufanya kaz ya kutoka jasho uson
 
Sex at least 2 times a day for 20 consecutive weeks... Your problem will dissappear
 
Unahtaj tiba sahihi kulingana na ngozi yako pia kwa kuzingatia jins yako ni pm namba zako.
 
Tatizo hujasema ngozi yko niyamafuta au kavu. Ila tumia vitu vya asili chukua msio wa unga changanya na maji kidogo upate uji mzito kiasi paka usoni kaa nao kwa muda wa dakika kumi baada ya hapo nawa kwa maji safi usitumie sabuni apo ukimaliza paka tena asali kaa nayo kwa muda wa dakika tano then nawa. nashindwa kukushauli upake nini baada ya hapo sijajua ngozi yako. NB: usikubali mtu akushaur kupaka crim kabisa tumia vitu vya asili.
Jamani wadau wa jukwaa hili kwa anae jua dawa yoyote inayo tumika kutibu chunusi za usoni anisaidie maana sasa imekua kero
 
Naamin mmeamka salama na mnaendelea nashughuli zenu za kila siku! jamani nina mdogo wangu ana tatzo la chunusi usoni hvyo mwenye kujua dawa yoyote ambayo itaweza kumsaidia bila kubadilisha rangi yake anisaidie!! natanguliza shkrani za dhati kwenu ASUBUHI NJEMA
 
Wadau wa JF Doctor,

Nina mdogo wangu anasumbuliwa na chunusi za mda mrefu sana, kama kuna mtu anayejua dawa ambyo itamsaidia bila kubadilisha rangi ya ngozi yake atusaidie.

Asubuhi njema.

================
Hakuna njia sahihi ya kujizuia ila unaweza kufanya yafuatayo;

1.Osha taratibu sehemu unayodhani ina chunusi kwa maji safi na sabuni angalau mara mbili kila siku huku ukisugua taratibu ,usikwaruze kwa kucha au kitu choichote kigumu
3.Osha nywele zako kila mara na epuka nywele kuziba uso (kwa wenye nywele ndefu)
4.Kula mlo kamili na epuka vyakula vyenye mafuta mengi.
5.Usibinye au kutoboa vipele kwa pini au kitu chenye ncha kali.
6.Epuka kukaa sana juani,mwanga wa asubuhi ni mzuri ili kupata vitamin D
7.Punguza mawazo


Chunusi ni tatizo sugu linalosababishwa na
Mambo kadha wa kadha. Tafiti nyingi za kisayansi zimeshafanywa na zinaendelea
mpaka leo kutafuta mbinu au tiba ya haraka kwa tatizo hili.

Kimila, wengi husema chunusi ni dalili ya kutunikiwa kupendwa na mtu aliyeko mbali na usiyemfahamu (secret admirer), eti basi ndio maana unatokwa na chunusi (tabasamu basi kidogo).

Wapo wanaosema zipo chunusi za kupevusha yai la hedhi kwa wanawake na wasichana pindi tarehe za mzunguko wake zinapokaribia.

Chunusi za namna hii humtoka
Mtu kamoja tu na kuwa haijifichi kabisa huku chache huwatoka katika masikio na wengine
ndani ya pua. Matokeo ya tafiti za kisayansi za kiutaalam imegundua kwamba chunusi husababishwana kuongezeka kwa uzalishwaji wa 'Testosterone hormone' na mafuta ya mwili 'sebum' wakati wa mabadiliko ya kimwili.

(Sebum ni aina ya mafuta kama nta yanayozaliwa kwenye vinyweleo chini ya ngozi yako). Chunusi pia husababishwa na msongo wa mawazo, matatizo ya kisaikolojia pamoja na lishe iliyojaa sukari nyingi na mafuta.

Bidhaa kama Manjano (Turmeric),
Giligilani, nyanya, ndimu, Aloe Vera, Zinc na Vitamin ‘A’ ni vitu vya asili vinavyo weza kutibu chunusi. Kuna baadhi ya bidhaa ambazo hazishauriwi kutumiwa hasa kama
mtu unatatizo la kiafya au mjamzito hivyo unatakiwa kuwasiliana na daktari wako kwa
ushauri kabla ya kutumia hizi vitamin na dawa.

T1PS MUHIMU ZA KUZINGATIA
1. Hakikisha unaacha kama sio unapunguza vyakula vyenye mafuta sheteshete na sukari
nyingi mpaka utakapomaliza tiba yako. Mfano chipsi, vitumbua, chapati, keki, biskuti, pipi,
soda, nk uviache au upunguze mpaka utakapopona chunusi.

2. Umeshasikia mara nyingi kuwa “maji ni tiba”, jenga tabia ya kunywa maji angalau glasi 8 kwa kutwa nzima.

3. Osha uso wako mara mbili kwa siku. Usinawe uso wako mara kwa mara kama samaki. Tumia sabuni iliyoandikwa ‘mild soap’ (mfano Protex Acne Soap au gentle facial wash) na maji ya vuguvugu wakati wa kuosha uso wako.

4. Tumia cream au lotion yenye ‘benzoyl peroxide’ ndani yake. Ukienda pharmacy
(duka la dawa) unaweza kuulizia kwa muhudumu.

5. Usijaribu kuzitumbua chunusi mwenyewe maana unaweza kusukuma ‘infection’
ikaingia zaidi ndani ya ngozi yako ambayo itasababisha uvimbe mwingine na wekundu
kujitokeza. Kama unataka kuzitumbua chunusi zilizoiva ni vyema uende ‘Professional
salon’ ukafanyiwe ‘facial treatment’ kitaalam.

6. Kama unahitaji kuondoa chunusi kwa ajili ya shughuli maalum kama harusi au mkutano
ukiwa kama mtoa mada, nenda kwa daktari wa ngozi ‘dermatologist’ akusaidie
kukupatia tiba ya chapchap. Maana anaweza kukuandikia dawa za antibiotics za kumeza
au za kupaka – itategemea na hali ya chunusi na ngozi yako.

7. Jaribu kujizuia kugusa uso wako na mikono kila mara. Ukiwa unaongea kwenye
simu jaribu kuzuia simu isiguse uso wako – kunaweza kukawa na ‘sebum’ juu ya ngozi
yako itakayokuathiri .

8. Hakikisha unanawa mikono yako mara kwa mara kila unapotoka chooni au kila baada ya
masaa kadhaa. Unaweza pia kutumia ‘antibacterial hand gel’. Mikono yako mara
zote iwe misafi.

9. Unapotaka kugusa uso wako mara zote, hakikisha umenawa mikono yako na sabuni
hasa kabla ya kupaka lotion, cream au make-up.

10. Kama una vaa miwani, inatakiwa zipanguswe mara kwa mara maana zinaweza
zoa 'sebum' kwenye ngozi yako.

11. Ngozi yako intakiwa ipumue. Kama chunusi ziko mgongoni, kwenye mabega au
kifuani, hakikisha unavaa nguo zisizobana. Kama inakubidi kuvaa nguo za kubana hakikisha ni safi na unazifua mara kwa mara.

12. Usiende kulala na make-up usoni. Tumia make-up isiyokuwa na mafuta au soma label
iliyoadikwa ‘Oil free’.

13. Nywele zako zinazogusa usoni ziwe safi wakati wote au zisiguse uso wako kabisa
maana na zenyewe pia zina uwezo wa kuzoa ‘sebum’ na kuambukiza sehemu zingine
ambazo chunusi hazijatokea.

14. Epuka na jua kali maana mionzi mingi ya jua kwenye uso au ngozi yako huleta jasho na
kuzalisha ‘sebum’.

15. Hakikisha foronya ya mto wako unabadilisha kila baada ya siku moja au mbili. Inashauriwa kama una chunusi zifuliwe kila siku - hasa kama usiku unatokwa na jasho
usoni wakati wa kulala. Kuna uwezekano mkubwa wa ‘sebum’ kubakia kwenye foronya
na kuambukiza sehemu zingine za ngozi yako.

MziziMkavu anasema,

Dawa ya kuondoa Chunusi kwa tiba asilia

Hii ni dawa nzuri kwa wale wote wenye Chunusi, kama utafuata maelekezo vizuri utaweza kupata matokeo mazuri.

Mahitaji

Kijiko cha chai kimoja - Juice ya Viazi mbatata

Nusu kijiko cha chai - Unga wa Lozi
robo kijiko cha chai - Manjano
Jinsi ya kutengeneza

Changanya vitu vyote pamoja kisha pakaa kwenye vipele vyeusi (usipake uso mzima kwenye vipele tu). Iache kwa muda wa nusu saa au hata unaweza kulala nayo. Pakaa kila siku kwa muda wa wiki mbili. Baadae utapaka kwa wiki mara mbili mpaka uone umeondoka weusi.

MATIBABU MBADALA
Haya hujumuisha lishe bora na usafi wa mwili.Ni vema kuoga mara kwa mara na kujifuta maji kwa taulo safi na kuiweka ngozi katika hali ya ukavu

nakuepuka upakaji wa mafuta mengi ya mgando hasa wakati wa joto. Watu wenye chunusi wanashauriwa kula mlo kamili wenye vyakula vyenye

madini ya zinki,nyuzinyuzi,matunda , mboga za majani,vitamin B complex na Chromium. Ni vema kuepuka au kupunguza matumizi ya pombe,vyakula

vya maziwa,tumbaku,sukari,vyakula vilivyoandaliwa viwandani na vyakula vyenye Iodine nyingi kama vile chumvi.

KARANGA TIBA YA KUONDOWA CHUNISI USONI.

TIBA.1

1. Karanga Zinaondoa Chunusi Usoni na kuufanya Uso kuwa Laini na kuleta uzuri wa Sura.

Chukua Karanga kijiko kimoja kidogo zisage kisha changanya na kipimo sawa cha juisi ya ndimu Au limao halafu unapaka kila siku Usoni kabla ya kulala.

TIBA.2

KUONDOA MAKOVU YA CHUNUSI.

1. Paka ‘bleach cream’ kwenye sehemu zenye makovu, cream hii husaidia kuondoa makovu.

2. Tumia ‘scrub’ ambayo huondoa ngozi ya juu (exfoliate) kwa kupaka kwenye sehemu zenye makovu kama usoni na kwingineko ambako ni rahisi kupaka. Unaweza kufanya zoezi hilo angalau mara mbili kwa wiki.

3. Tumia bidhaa ambazo zina ‘hydroxyl acids`, hutibu ngozi yako na itaonekana nyororo. Unaweza kupata hydroxyl acidstofautitofauti za ngozi (skin care products) kama vile cleansers na lotion.

4. Pia unaweza kuyafanyia masaji makovu ya chunusi ili kuvunja mafuta yaliyoganda ambayo huleta chunusi.

5. Fanya ‘diet’, unatakiwa kula vyakula vyenye vitamin na nutrition, vinasaidia kutengeneza ngozi yako kuwa na afya
 
Ana umri gani?mnaweza mkawa mnapingana na balehe na hormones bila kujua!
 
Nimetoa kwenye website kama ilivyo viungo vya nyumbani vinavyoondoa chunusi na mabaka yake


Natural remedies to Remove Pimple/Acne Scars
There are various natural ingredients that you can apply on scars to remove scars from your face.
1. Lemon
Lemon is a natural bleach. Vitamin C in lemon helps in rebuilding collagen. When you use lime juice on your acne scars, the spots get lighter day by day.
How to use lemon for acne scars
• Take a fresh lemon and squeeze out its juice. Apply this juice directly on your scars with finger tips or a cotton ball.
• If your skin is very sensitive, diliute lemon juice by mixing some rose water and then apply on your scars.
• You can even mix a teaspoon of lemon juice with two teaspoons of Vitamin E oil and then apply this to your acne scars. Vitamin E is a very good emollient with a lots of antioxidants that protects and even improves your skin texture.
Make a lemon mask to remove pimple scars
You will need:
• Lemon juice – 1 tbsp
• Honey – 1 tbsp
• Almond oil – 1 tbsp
• Milk – 2 tbsp
Directions:
Mix them all and apply on the scars once daily for about 7-10 days. You’ll see the difference.
After applying lemon juice, never ever step out in sun!
2. Honey
Honey, along with acne, is also capable of treating acne scars.
How to use honey for acne scars
• Apply honey on the scars and leave it overnight. Wash off in the morning.
• Mix 2 tablespoons of honey with ¼ cup of oatmeal. Apply this mixture gently on pimple scars. Leave it for about 15-20 minutes then wash off with lukewarm water.
• Add ½ tsp of cinnamon powder with 1 tbsp of honey and apply on scars. Leave it for an hour. You can even use it overnight. Then wash off.
Make a honey-aspirin mask to remove pimple scars
Although aspirin is not a natural ingredient but you can always use it with honey to get rid of your acne scars. The salicylic acid in aspirin does wonders and its gritty texture gives you perfect exfoliation.


You will need:
• Honey- 2 tbsp
• Aspirin-2-3
• Water- few drops
Directions
• Put the aspirins in a few drops of water till they get dissolved into it and form a paste. Don’t use too much water as you need a gritty texture for exfoliation.
• Add honey to this aspirin-water paste and mix
• Apply on your scars and leave for 15 minutes.
• Now wash it off.
3. Aloe Vera
This wonder herb, Aloe Vera, not only soothes swollen skin but also helps in regenerating damaged tissues boosting the healing process. It’s better to use fresh gel like substance directly from the aloe vera leaf than to use over the counter products containing aloe vera
How to use aloe vera for acne scars
Take an aloe vera leaf and peel its outer green cover. You’ll see a gel like substance beneath its green outer cover. Take out this gel and apply it on your scars. Leave it for about half an hour and then wash off.
Apply aloe vera gel twice daily to see the results in just few days. Not only will your acne scars will diminish but also your skin will start glowing and will become tighter.
4. Olive Oil
Olive oil can be said to be the most skin friendly oil because it contains a whole lot of vitamins ( A, D, E, C, B1 and B2), iron and antioxidants. The anti-inflammatory properties of olive oil also help remove acne scars.
How to use olive oil for acne scars
You need to apply olive oil to your scars before going to bed.
You will need:
• Olive oil
• Warm Water
• A clean cloth or towel
Direction:
• Take a little olive oil and gently massage your face with this. Focus more on the pimple scars.
• Massage for a few minutes till the time you can feel that all the oil has been absorbed by your skin.
• Now take a clean towel or cloth and drape it into warm water.
• Put the warm wet cloth on to your face to get the steam.
• Now wipe away the excess oil gently with the cloth. Don’t rub though.
• After 1-2 minutes, wash off your face with normal water.
5. Baking Soda
Baking soda is yet another popular remedy for removing acne scars through its exfoliating effects. The gentle coarse granules of soda mixed with water remove the dead skin layer off your face.
 
Nimetoa kwenye website kama ilivyo viungo vya nyumbani vinavyoondoa chunusi na mabaka yake


Natural remedies to Remove Pimple/Acne Scars
There are various natural ingredients that you can apply on scars to remove scars from your face.
1. Lemon
Lemon is a natural bleach. Vitamin C in lemon helps in rebuilding collagen. When you use lime juice on your acne scars, the spots get lighter day by day.
How to use lemon for acne scars
• Take a fresh lemon and squeeze out its juice. Apply this juice directly on your scars with finger tips or a cotton ball.
• If your skin is very sensitive, diliute lemon juice by mixing some rose water and then apply on your scars.
• You can even mix a teaspoon of lemon juice with two teaspoons of Vitamin E oil and then apply this to your acne scars. Vitamin E is a very good emollient with a lots of antioxidants that protects and even improves your skin texture.
Make a lemon mask to remove pimple scars
You will need:
• Lemon juice – 1 tbsp
• Honey – 1 tbsp
• Almond oil – 1 tbsp
• Milk – 2 tbsp
Directions:
Mix them all and apply on the scars once daily for about 7-10 days. You’ll see the difference.
After applying lemon juice, never ever step out in sun!
2. Honey
Honey, along with acne, is also capable of treating acne scars.
How to use honey for acne scars
• Apply honey on the scars and leave it overnight. Wash off in the morning.
• Mix 2 tablespoons of honey with ¼ cup of oatmeal. Apply this mixture gently on pimple scars. Leave it for about 15-20 minutes then wash off with lukewarm water.
• Add ½ tsp of cinnamon powder with 1 tbsp of honey and apply on scars. Leave it for an hour. You can even use it overnight. Then wash off.
Make a honey-aspirin mask to remove pimple scars
Although aspirin is not a natural ingredient but you can always use it with honey to get rid of your acne scars. The salicylic acid in aspirin does wonders and its gritty texture gives you perfect exfoliation.


You will need:
• Honey- 2 tbsp
• Aspirin-2-3
• Water- few drops
Directions
• Put the aspirins in a few drops of water till they get dissolved into it and form a paste. Don’t use too much water as you need a gritty texture for exfoliation.
• Add honey to this aspirin-water paste and mix
• Apply on your scars and leave for 15 minutes.
• Now wash it off.
3. Aloe Vera
This wonder herb, Aloe Vera, not only soothes swollen skin but also helps in regenerating damaged tissues boosting the healing process. It’s better to use fresh gel like substance directly from the aloe vera leaf than to use over the counter products containing aloe vera
How to use aloe vera for acne scars
Take an aloe vera leaf and peel its outer green cover. You’ll see a gel like substance beneath its green outer cover. Take out this gel and apply it on your scars. Leave it for about half an hour and then wash off.
Apply aloe vera gel twice daily to see the results in just few days. Not only will your acne scars will diminish but also your skin will start glowing and will become tighter.
4. Olive Oil
Olive oil can be said to be the most skin friendly oil because it contains a whole lot of vitamins ( A, D, E, C, B1 and B2), iron and antioxidants. The anti-inflammatory properties of olive oil also help remove acne scars.
How to use olive oil for acne scars
You need to apply olive oil to your scars before going to bed.
You will need:
• Olive oil
• Warm Water
• A clean cloth or towel
Direction:
• Take a little olive oil and gently massage your face with this. Focus more on the pimple scars.
• Massage for a few minutes till the time you can feel that all the oil has been absorbed by your skin.
• Now take a clean towel or cloth and drape it into warm water.
• Put the warm wet cloth on to your face to get the steam.
• Now wipe away the excess oil gently with the cloth. Don’t rub though.
• After 1-2 minutes, wash off your face with normal water.
5. Baking Soda
Baking soda is yet another popular remedy for removing acne scars through its exfoliating effects. The gentle coarse granules of soda mixed with water remove the dead skin layer off your face.

Kutujazia ukurasa wote tukuelewe vipi we Mtanganyika?
 
22 yrs # ms.lincolin
Nadhan aepuke vyakula vyenye mafuta mengi,mafuta yenye asili ya mafuta mengi,vipodozi,pia anywe maji mengi na kufanya zoez la kutosha!Aoshe uso na kusafisha mara kwa mara,ikishindikana aende kwa doctor!
 
nina mdogo wangu anasumbuliwa na chunusi za mda mrefu sana, kama kuna mtu anayejua dawa ambyo itamsaidia bila kubadilisha rangi ya ngozi yake atusaidie asubuhi njema
Jaribu kutumia skincare products za forever living ni nzuri sana na zinamaintain rangi ya asili ya ngozi unaweza pata kutoka kwa FLP distributor yoyote
 
Hormone issues epuka
mayai
karanga
nazi
chocolates

Upo kwenye jukwaa silo
 
Back
Top Bottom